Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Tutarajie kunyoroshwa barabara.Moja ya kauli anazoongea mgombea uraisi kupitia CCM ni kuwa muhula wa kwanza wa uongozi wake alikuwa anatuonjesha, je miaka mitano ijayo endapo atachaguliwa, itakuwaje?
-Maslahi ya watumishi yatakuwaje?
-Ajira zitakuwa katika hali gani?
-Je, wakulima na wafanyabiashara wategemee nini?
-Wananchi kwa ujumla tutakuwa katika hali gani iwapo kwa miaka hii mitano inayoisha tuko hivi tulivyo?
Jamuhuri imetapika kampeni ya kisayansi
View attachment 1556496View attachment 1556498View attachment 1556499View attachment 1556501
Mkoa wenye wabunge maarufu Tanzania
Hapa jamhuri kampeni zinapigwa huku watu wakila bata uwanjani
Balozi mtarajiwa.Aisee niaje mtemi chenge, naona wamekula kichwa, ila umeitafuna hii nchi balaa mzee, ufisadi umeupiga kweli kweli.
Kweli bwana sijui kwa nini anahangaika na hivi viungozi vya hapa Duniani wakati angeweza kwenda zake huko mbinguni na kuwaongoza malaikaAnastahili amefanya makubwa
Mtu unaishi kwenye nyumba ya tembe ndege itakusaidia nini?Kweli kabisa,jiwe haamini pamoja na kununua ndege na kujenga flyover lakini bado wananchi hawajampokea kulingana na matarajio yake!Alitegemea wananchi watajaa kwake tu!
Umesahau kumalizia, kwamba vilevile anamfuatilia lissu kupitia Jamii forum.Mleta mada atakuwa anamfuatilia Magufuli kupitia account ya twitter ya kigogo
Kabisa mkuu! Haelewi uhalisia huko fieldUmesahau kumalizia, kwamba vilevile anamfuatilia lissu kupitia Jamii forum.
Atageuza Tanzania kama ulaya ,aigeuze tena kama mabeberu mbona haeleweki, mzee amechanganyikiwa hadi anaropokaKabisa mkuu! Haelewi uhalisia huko field
Tunakazia hapo hapo mropoke vizuriMleta mada atakuwa anamfuatilia Magufuli kupitia account ya twitter ya kigogo
Nadhani ni Polepole au Magu mwenyewe anaweza kua ndio huyo huyo Kampeni Manager,si unaonaga hata kwny bongo movie actor anakua ndio huyo huyo director,then Location Manager na hapohapo ndio anawafanyia Make up wasanii wake.Kampeni Meneja wa kipindi hiki sijui ni nani!