Kwa mtu ambaye anasema kitu na kuponda halafu leo kajisahau anasifia tena basi mimi nina akili timamuUmetumia ufahamu wako wote kuhisi kuwa wewe ndio mwenye akili timamu??
Maandiko mazuri sanahuelewi hata maana ya sera ,sera hutamka jumla kwenye utendaji ndio kunakuwa specific.mfano sera inaweza tamka lengo ni kuboresha maisha ya mtanzania unapoingia kwenye utekelezaji ndipo kila mhusika anatoholea hapo.
Mfano kwenye kipengele cha kuboresha maisha ya mtanzania mwajiri wa sekta ya umma au binafsi anatakiwa afanye nini kwa mfanyakazi wake kuboresha maisha? ndipo zinakuja nyongeza za mishahara,maruprupu nk
Unaenda wizara ya afya kwenye hicho kipengele cha kuboresha maisha ya mtanzania wao watafanya nini ndio unaona uboreshaji wa huduma za afya unaingia hapo
ukija wa wizara ya miundo mbinu inaenda hapo kwenye sera kuwa wao hicho kipengele cha kuboresha maisha ya mtanzania watafanya nini ndipo unaona uboreshaji wa miundo mbinu nk
Ndio maana ni lazima kila kiongozi wa serikali au taasisi ya umma kuwa na ilani na sera za chama tawala
Tatizo chadema mnadhani sera unatamka ohhh nitamlipia kila kijana wa kiume mahari na kila mtu nitampa kadi ya bima ya afya!!! hiyo ni katika level ya chini ya utendaji !!
Kutokana na ufinyu wako wa uelewa wa sera ndio maana umeuliza tu kuboresha mishahara ya watumishi wa umma huelewi kuwa wako na wa sekta binafsi!! unadhani kazi ya serikali ni kuboresha tu maslahi ya wafanyakazi wa umma!!!
Lisu ukimsikiliza hasa haongelei sera yuko kwenye low level ya kuongelea vitu vya chini sana sio vya kiupana kitaifa.Sera hujikita kwenye upana kitaifa mfano hata ukimpa kila mtu bima ya afya wakati hata panadol hakuna hicho kikadi kinamsaidia nini? ndio maana sera itatamka kuboresha maisha ya mtanzania hivyo ukiongelea hospitali sasa unaongea kuanzia uwepo wa miundo mbinu ya majengo,madaktari,maslahi yao,uwepo wa vitendea kazi,mazingira ya kazi ,uwepo wa madawa na ndio mwishoni huko unaongelea kugawa hivyo vikadi vyako vya bima ya afya.Ndio maana tunasema Huwezi tamka bima ya afya eti ni sera!!!! chadema ni zero kwenye utengenezaji sera ndio maana hata wewe huelewi unadhani kuongeza mshahara ni sera!!!
Kweli kabisa,jiwe haamini pamoja na kununua ndege na kujenga flyover lakini bado wananchi hawajampokea kulingana na matarajio yake!Alitegemea wananchi watajaa kwake tu!
Naweka nukuu za maaskari 2 tofauti kwa wakati tofauti nilipowachalenji kuhusu Magufuli.Wakati kampeni hazijaanza alikuwa mwenyewe kujiimarisha, cha kushangaza jinsi siku zinavyoenda amezidi kuporomoka na watu kumwona hana jipya kwenye kampeni zake.
Sera anazoongea hazina mashiko amebaki na sera za kukejeli na vijembe ambavyo wananchi wanaona hana kipya.
Amekaa miaka yote 5 kapunguza ajira halafu leo anakuja tena kusema ataleta ajira mil 8,mara mimi sitoki nje ya nchi ni mzalendo,ajira elfu 8 kashindwa ataweza mil 8 kama siyo kutuletea comedy, vile vile kutokwenda nje ya nchi haionyeshi kwamba we ni mzalendo ni hofu yake tu.
Kusema Lissu siyo mzalendo kisa amekaa nje ya nchi haina mashiko ni kuropoka tu maana hakuna asiye jua alienda kwa matibabu.
Magufuli anaenda kuwa Rais wa awamu moja dalili zote zinaonyesha ,wafanyakazi wamemchoka ,wastaafu wamemchoka ,vijana wamemchoka, wazee wamemchoka na kila mtu anamwona vyote anavyoongea ni usanii tu
Yaweza kuwa kweli una akili timamu, Lakini kumbuka Jpm ni mwanadamu hata Kama akijikanganya leo tunayachukulia Kama madhaifu ya kibinadamu, Kuijua jamii forum kisiwe kipimo cha kujiona wewe ni mkamilifu.Kwa mtu ambaye anasema kitu na kuponda halafu leo kajisahau anasifia tena basi mimi nina akili timamu
Chakubanga, what do you expect?Kampeni Meneja wa kipindi hiki sijui ni nani!
Kweli kabisa,jiwe haamini pamoja na kununua ndege na kujenga flyover lakini bado wananchi hawajampokea kulingana na matarajio yake!Alitegemea wananchi watajaa kwake tu!
Sawa Jeshi la Akiba ibeni hizo kura tuone kama hamtochafua suruwaliMleta mada atakuwa anamfuatilia Magufuli kupitia account ya twitter ya kigogo
Atageuza Tanzania kama ulaya ,aigeuze tena kama mabeberu mbona haeleweki, mzee amechanganyikiwa hadi anaropoka
Umekaa shuleni miaka minne umeshindwa kujipatia hata Div 3, leo unamlaumu aliyekaa madarakani kwa miaka mitano hajakuletea maendeleo! Ingekuwa maendeleo ni jambo rahisi basi wewe usingeshindwa kupata karai tatu ndani ya miaka minne...Mtu unaishi kwenye nyumba ya tembe ndege itakusaidia nini?
[emoji116]Wakati kampeni hazijaanza alikuwa mwenyewe kujiimarisha, cha kushangaza jinsi siku zinavyoenda amezidi kuporomoka na watu kumwona hana jipya kwenye kampeni zake.
Sera anazoongea hazina mashiko amebaki na sera za kukejeli na vijembe ambavyo wananchi wanaona hana kipya.
Amekaa miaka yote 5 kapunguza ajira halafu leo anakuja tena kusema ataleta ajira mil 8,mara mimi sitoki nje ya nchi ni mzalendo,ajira elfu 8 kashindwa ataweza mil 8 kama siyo kutuletea comedy, vile vile kutokwenda nje ya nchi haionyeshi kwamba we ni mzalendo ni hofu yake tu.
Kusema Lissu siyo mzalendo kisa amekaa nje ya nchi haina mashiko ni kuropoka tu maana hakuna asiye jua alienda kwa matibabu.
Magufuli anaenda kuwa Rais wa awamu moja dalili zote zinaonyesha ,wafanyakazi wamemchoka ,wastaafu wamemchoka ,vijana wamemchoka, wazee wamemchoka na kila mtu anamwona vyote anavyoongea ni usanii tu
Matokeo ya mafuso na wasanii[emoji116]View attachment 1557423
Msitafute Wachawi wakati mnao humohumo LumumbaNaona ndio mnaemtegemea, kuna mwenzio humu anaitwa Lord denning alaifurahi kweli aliposikia kigogo karudi kule twiter
Matokeo mazuri yanatokana na waalimu wazuri ,vifaa vya masomo na jitihada binafsi ,usijitoe ufahamu hapa wakati mambo unayoandika humu yanaakisi ukilaza wakoUmekaa shuleni miaka minne umeshindwa kujipatia hata Div 3, leo unamlaumu aliyekaa madarakani kwa miaka mitano hajakuletea maendeleo! Ingekuwa maendeleo ni jambo rahisi basi wewe usingeshindwa kupata karai tatu ndani ya miaka minne...
Tatizo wabongo wengi wanajipima na Marekani, taifa ambalo limekuwepo kwa zaidi ya miaka mia mbili.
Fundi mbovu hulaumu zana zake!Matokeo mazuri yanatokana na waalimu wazuri ,vifaa vya masomo na jitihada binafsi ,usijitoe ufahamu hapa wakati mambo unayoandika humu yanaakisi ukilaza wako