imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kama hapo Tinde walipeleka watu kutoka Isaka Nzega Kahama kwa ahadi za fedha taslimu na vitisho kwa waaalimu kutoka ShinyangaMatokeo ya mafuso na wasanii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hapo Tinde walipeleka watu kutoka Isaka Nzega Kahama kwa ahadi za fedha taslimu na vitisho kwa waaalimu kutoka ShinyangaMatokeo ya mafuso na wasanii
Waziri mkuu manyara watu waliletwa toka mbulu kuja babati ,kampeni zilipoisha hawakurudishwa hadi leo wanatafuta msaada wa kurudiKama hapo Tinde walipeleka watu kutoka Isaka Nzega Kahama kwa ahadi za fedha taslimu na vitisho kwa waaalimu kutoka Shinyanga
Mikakati ya CHADEMA ni pamoja na kutumia wanachama wake kuchoma ofisi zao.....Wakati kampeni hazijaanza alikuwa mwenyewe kujiimarisha, cha kushangaza jinsi siku zinavyoenda amezidi kuporomoka na watu kumwona hana jipya kwenye kampeni zake.
Sera anazoongea hazina mashiko amebaki na sera za kukejeli na vijembe ambavyo wananchi wanaona hana kipya.
Amekaa miaka yote 5 kapunguza ajira halafu leo anakuja tena kusema ataleta ajira mil 8,mara mimi sitoki nje ya nchi ni mzalendo,ajira elfu 8 kashindwa ataweza mil 8 kama siyo kutuletea comedy, vile vile kutokwenda nje ya nchi haionyeshi kwamba we ni mzalendo ni hofu yake tu.
Kusema Lissu siyo mzalendo kisa amekaa nje ya nchi haina mashiko ni kuropoka tu maana hakuna asiye jua alienda kwa matibabu.
Magufuli anaenda kuwa Rais wa awamu moja dalili zote zinaonyesha ,wafanyakazi wamemchoka ,wastaafu wamemchoka ,vijana wamemchoka, wazee wamemchoka na kila mtu anamwona vyote anavyoongea ni usanii tu
lugha ya majumui ndo tatizo, alokwambia vijana tumemchoka ni nani?, kwendraaa!, magu piga kazi, mana hawa uliowatumbua, wamekuwa wazurulaji hawana mana zaid ya kuongea utupolo kana u! shit! wanaupotosha umma! ulioelimika shit guys com on, lets wake up together and denied this foolish post from mask men.Wakati kampeni hazijaanza alikuwa mwenyewe kujiimarisha, cha kushangaza jinsi siku zinavyoenda amezidi kuporomoka na watu kumwona hana jipya kwenye kampeni zake.
Sera anazoongea hazina mashiko amebaki na sera za kukejeli na vijembe ambavyo wananchi wanaona hana kipya.
Amekaa miaka yote 5 kapunguza ajira halafu leo anakuja tena kusema ataleta ajira mil 8,mara mimi sitoki nje ya nchi ni mzalendo,ajira elfu 8 kashindwa ataweza mil 8 kama siyo kutuletea comedy, vile vile kutokwenda nje ya nchi haionyeshi kwamba we ni mzalendo ni hofu yake tu.
Kusema Lissu siyo mzalendo kisa amekaa nje ya nchi haina mashiko ni kuropoka tu maana hakuna asiye jua alienda kwa matibabu.
Magufuli anaenda kuwa Rais wa awamu moja dalili zote zinaonyesha ,wafanyakazi wamemchoka ,wastaafu wamemchoka ,vijana wamemchoka, wazee wamemchoka na kila mtu anamwona vyote anavyoongea ni usanii tu
Nothing new from you !Mikakati ya CHADEMA ni pamoja na kutumia wanachama wake kuchoma ofisi zao.....
Poor and shame
Rudi kwanza darasani maana hata kuandika hujui sitaki kujibizana na vilazalugha ya majumui ndo tatizo, alokwambia vijana tumemchoka ni nani?, kwendraaa!, magu piga kazi, mana hawa uliowatumbua, wamekuwa wazurulaji hawana mana zaid ya kuongea utupolo kana u! shit! wanaupotosha umma! ulioelimika shit guys com on, lets wake up together and denied this foolish post from mask men.
Hutu tumelichoka bora tu lirudi kwao .Wakati kampeni hazijaanza alikuwa mwenyewe kujiimarisha, cha kushangaza jinsi siku zinavyoenda amezidi kuporomoka na watu kumwona hana jipya kwenye kampeni zake.
Sera anazoongea hazina mashiko amebaki na sera za kukejeli na vijembe ambavyo wananchi wanaona hana kipya.
Amekaa miaka yote 5 kapunguza ajira halafu leo anakuja tena kusema ataleta ajira mil 8,mara mimi sitoki nje ya nchi ni mzalendo,ajira elfu 8 kashindwa ataweza mil 8 kama siyo kutuletea comedy, vile vile kutokwenda nje ya nchi haionyeshi kwamba we ni mzalendo ni hofu yake tu.
Kusema Lissu siyo mzalendo kisa amekaa nje ya nchi haina mashiko ni kuropoka tu maana hakuna asiye jua alienda kwa matibabu.
Magufuli anaenda kuwa Rais wa awamu moja dalili zote zinaonyesha ,wafanyakazi wamemchoka ,wastaafu wamemchoka ,vijana wamemchoka, wazee wamemchoka na kila mtu anamwona vyote anavyoongea ni usanii tu
Bila kusahau burudani maana watu wasiokuwa na kazi ni wengi mtaani wanahitaji kiburudisho kama cha kampeni za ccmMatreka na fuso yamefanya kazi kubwa tunashukuru kwa hilo tungeumbuka
Siyo ghafla.Wakati kampeni hazijaanza alikuwa mwenyewe kujiimarisha, cha kushangaza jinsi siku zinavyoenda amezidi kuporomoka na watu kumwona hana jipya kwenye kampeni zake.
Sera anazoongea hazina mashiko amebaki na sera za kukejeli na vijembe ambavyo wananchi wanaona hana kipya.
Amekaa miaka yote 5 kapunguza ajira halafu leo anakuja tena kusema ataleta ajira mil 8,mara mimi sitoki nje ya nchi ni mzalendo,ajira elfu 8 kashindwa ataweza mil 8 kama siyo kutuletea comedy, vile vile kutokwenda nje ya nchi haionyeshi kwamba we ni mzalendo ni hofu yake tu.
Kusema Lissu siyo mzalendo kisa amekaa nje ya nchi haina mashiko ni kuropoka tu maana hakuna asiye jua alienda kwa matibabu.
Magufuli anaenda kuwa Rais wa awamu moja dalili zote zinaonyesha ,wafanyakazi wamemchoka ,wastaafu wamemchoka ,vijana wamemchoka, wazee wamemchoka na kila mtu anamwona vyote anavyoongea ni usanii tu
Asilimia ngapi ya Watanzania wanafaidika na hizo ndege?Kweli kabisa,jiwe haamini pamoja na kununua ndege na kujenga flyover lakini bado wananchi hawajampokea kulingana na matarajio yake!Alitegemea wananchi watajaa kwake tu!