Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Itabidi sasa tuongee kiingereza.
 
Kwani sheria ya uchaguzi inasemaje kuhusu kutumia lugha zisizo rasmi kwenye kampeni za uchaguzi, au wakati mwingine kuna mahali hivi visheria vinakuwa kwenye usingizi mzito sana..
Sheria za utangazaji na vyombo vya habari inakataza matumizi ya lugha za kikabila katika matangazo ya vyombo hivyo. Vinginevyo kwa jinsi tunavyowafahamu baadhi ya ndugu zetu, kungekuwepo na utitiri wa redio za kikabila kama ilivyo huko Kenya na Uganda. Watanzania hatukuyazoea mambo ya ulugaluga hasa kwenye mikutano mikubwa kama hii. Hali hii huleta utengano na kutokuaminiana kwani unaweza kufikiria kwamba hao walugaluga wanawasengenya.
 
Tunahisi kubaguliwa sisi tusioelewa kilugha hicho. Tunamwomba aongee lugha rasmi Kiswahili ili na sisi wengine tumwelewe.
Sema una kaushabiki... NaJF imeanza kuwa tainted..sio kisima cha fikra huru Tena. Ukienda kwa warumi ongea kirumi..

Vijana hampigi kura kutwa kwenye mitandao kupiga soga.. mwanasiasa yeyote Mwenye akili anajua umuhimu wa watu wa vijijini ambao wengi wao Kiswahili hawakijui Kama unavyotaka Kujiaminisha.

Na kiongozi Kama utashindwa kuongea yale yanayogusa moyo wao kura hupati.. labda kitu usichokijua Duniani kote sera haikupeleki ikulu.. Ni ushawishi..

Sasa wewe nenda bukoba/umasaini au Ihemi na Tungamalenga huko uwashawishi na maneno yako ya mchakato uone Kama utapata kura..

Na kinachosikitisha ..na haka kanakuwa katrend humu-jf watu aidha kuongezea chunvi Sana matukio ya kampeni au kuyabadilisha badilisha kusuit their narrative,. Ni aibu kwa msomi kupindisha data aonekane yuko Sahihi... Na hii iwafikie wote vyama vyote na moderators mnaua brand ya JF.

Btw. Kwanza kwa hilo la kisukuma unayo picha ya video au rekodi ya sauti ya kampeni iliyoendeshwa kwa Kisukuma mwanzo mpaka mwisho!? Na Kama ipo haina version ambayo aliielezea kwa Kiswahili!?

Pili wewe upo Mwanza!? Katika eneo analoahidi na kumwaga sera allegedly fully kwa kisukuma!? Kama hapana una ndugu, jamaa au rafiki maeneo hayo ambaye amesema hakuelewa!? Kama huna jamaa na wala huna ndugu huko..

Kwann unataka sana kujua wao wameahidiwa Nini!? Wivu!? Tamaa!? Au!? Kwann wewe mtu wa temeke uwe very interested kujua Mlele wameahidiwa Nini!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Katika uchaguzi ambao wapinzani watapigwa vibaya mnoo na ccm ni huu wa mwaka 2020 kwa sababu wapinzani bila nguvu ya ukawa hawawezi kushindana na ccm.

Hebu fikiria uchaguzi 2015 ambao uliwapa wapinzani wabunge wengi,madiwani wengi sababu ya nguvu ya ukawa

Leo hii ACT,CHADEMA,CUF,NCCR kila chama kinasimamishq mgombea wake wa uraisi ubunge udiwani alafu mnategemea mtashinda kweliii
 
Yaani wewe hujielewi kabisa....hiyo ni sawa sawa na rushwa...miccm bwana sijui ipoje
 
Yaani wewe hujielewi kabisa....hiyo ni sawa sawa na rushwa...miccm bwana sijui ipoje
Huwezi kutumia neno hujielewi.... Umewahi kushiriki kampeni!? Umesoma Ilani za vyama vyote ukakutana na iliyo mbaya!? Inayotaka watu wawe masikini, wafe kwa njaa na waishi maeneo yenye miundombinu mibovu!? Kinachokupeleka ikulu sio ilani ni ushawishi

Au unadhani ni kwanini mazoezi kusimikwa uchief wa makabila ni muhimu kwenye kampeni!? Watu wanataka kuconnect na wapiga kura..and to your surprise watu kijijini wanawaamini machifu kuliko unavyodhani.. mkoloni aliwatumia na wanasiasa wanawatumia.. iko hivyo.

Kama unahisi wanataka kuonekana wamevalia migorole, ngozi, sime na mikia ya Ng'ombe just for show! Pole



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mtanyooka tu awamu hii na ijayo!
 
Muoneeni huruma jamani juzi shalomwamba kampigisha magoti wakasali singeli leo mntataka aruke ruke

Huyu kaamua kupigiswa kwata na wasanii, halafu walinzi wake wanatazama tu.Usalama wake ni mdogo sana akijiingiza kwenye vitu hivi.
 
wale waliomzomea wamemchanganya kabisa leo. yani huyu jamaa dawa yake ndogo sana watu wakiingia barabarani wiki moja anakimbia nchi.



Usilogwe kuandamana, kwa hasira zake atasema; "lolote na liwe", hapo ndipo bloodshed itakapotokea.

Huko tunapoelekea hakuna mustaqbal mwema.

Ewe Mungu utunusuru.
 
Hiyo ni effect of localized mentality...hawajui kinachomata ni alichoongea na siyo alikoyaongelea.
Mlisema Lissu amejaza Watu mwanza.Baba kaingia ,Watu mpaka barabarani wanamsubiri.Huyo ndio Rais wa Africa bwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…