Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
Hamna🤔🤔Uchaguzi wahusiana vipi na matokeo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna🤔🤔Uchaguzi wahusiana vipi na matokeo ?
Kuna ng'ombe mmoja kila siku anatutukania mama zetu shamgazi zetu etc.....Unataka msanii atoke Ccm aende wapi? Kwa wale wahuni wanaotukana jukwaani?
Kuna ng'ombe mmoja kila siku anatutukania mama zetu shamgazi zetu etc.....
Usimfananishe Lissu na hiyo takataka yenu
Nilijuuuuaaaaaaa😆😆😆😆 Raha ua ule mwili unamkabidhi mwanaume😋😋...mwili ule unamkabidhi mtu Kama Bashite au mwanamke mwenzako?? KwendraaaaaLesbo kwa raha zake [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Tatizo ni kwamba unauzungumzia mwili wa mtu mwingine, hajaja kutaka kukusugua wewe, anafanya sirini kama ambavyo kila mtu ana siri zake za chumbani, ni mwili wake, starehe zake.Nilijuuuuaaaaaaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Raha ua ule mwili unamkabidhi mwanaume[emoji39][emoji39]...mwili ule unamkabidhi mtu Kama Bashite au mwanamke mwenzako?? Kwendraaaaa
Tatizo ni kwamba unauzungumzia mwili wa mtu mwingine, hajaja kutaka kukusugua wewe, anafanya sirini kama ambavyo kila mtu ana siri zake za chumbani, ni mwili wake, starehe zake.
"Stop peeping into people's bedrooms"
....in Lissu's voice. (Our future president..in his dreams).
Forgive my ngeli..
Good girl.Hhhaahaaa sawa ..naacha!
Kwa kuhakikisha maisha ya watumishi wa Umma yanakuwa magumu na kuhakikisha vijana wanaomaliza vyuo vikuu hawapati ajira.Kila moja na maisha yako na maamuzi yake, atafanya kulingana na alivyoguswa na utawala huu wa Magufuli.
Kwakweli mimi nisiwe mnafki siwezi kumpigia kura kwa sababu moja kuu, nimempotezea jirani na rafiki yangu kipenzi Beni Saanane tuliyeshibana tangu akiwa mtoto mimi nikiwa kama kaka yake, amepotea ndani ya utawala huu ambapo wana vyombo vyote vya usalama kumtafuta alipo, mpaka leo hajaonekana...
ni bora tuone nguvu zetu za sehemu husika kwa uhalisia kuliko kujidanganya kwa mabasi na wasanii wa singeli na wanafunzi wa shule ya msingi.
Sasa watu wanaokuja kwenye mikutano ya kampeni ulitaka watembee kwa miguu?, Mfano mie nakaa ubungo kuwe na mkutano kimara nitembee kwa miguu ili nigundue nini ?Kumekuwa na ukusanyaji wa watu kutoka vijijini na kuwapeleka mikutanoni mijini.
Alafu wakisha wajaza uwanjani wanajisifu eti oooh sisi tunapendwaaaaa, tazama watu walivyo jazana hapa mjini...
Hata Tanga, Rahaleo, Tashrif, Ratco (kabla haijafa), Simba Mtoto na mabasi mengine mengine mengi , hata malori mbona ndiyo huwa kazi yao ya kukusanya watu. Wanajua fika kuwa wamekataliwa, hivyo hukusanya watu. Wakimaliza huwa wanawatelekeza uwanjani !Kumekuwa na ukusanyaji wa watu kutoka vijijini na kuwapeleka mikutanoni mijini.
Alafu wakisha wajaza uwanjani wanajisifu eti oooh sisi tunapendwaaaaa, tazama watu walivyo jazana hapa mjini...
Jipe moyo!Sasa watu wanaokuja kwenye mikutano ya kampeni ulitaka watembee kwa miguu?, Mfano mie nakaa ubungo kuwe na mkutano kimara nitembee kwa miguu ili nigundue nini ?