Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shughuli ni leo asubuhi tafadhali mkumbushe MwenzakoView attachment 1561189View attachment 1561190
Hivi hii nayo ni habari? hebu itendeeni haki jamii forumAkiomba Dua na kumshukuru yeye atoaye.
Ni jambo jema na ishara ya unyenyekevu.
Safari inaendelea vizuri sana na ushindi ni dhahiri.
Ndo hivyo wamefananaacha kumfananisha rais lissu na hilo likiloba la pamba
The epitome of hypocrisyAkiomba Dua na kumshukuru yeye atoaye.
Ni jambo jema na ishara ya unyenyekevu.
Safari inaendelea vizuri sana na ushindi ni dhahiri.
Andika kwa herufi ndogo mkuuKWANI IMEANZIA KWA MAGUFULI MBONA NI KAWAIDA HIYO MNAPOSEMA UKICHAGUA CCM UNACHAGUA UMASKINI MLIKUWA NA MAANA GANI, KWANI TUMEANZA LEO KUSIKIA HIZO.
SASA KAMA UPINZANI MNA TABIA YA KUKIMBIA BUNGE KUKATAA KUPITISHA BAJETI NA KUENDELEA KUMTUKANA RAIS MNAONA MNATENDA SAWA SIYO UBAGUZI HUO.NYIE NDIYO WAGAWAJI WAKUBWA WA TAIFA.
Jiwe ambalo hawajalikataa waashi limekuwa jiwe kuu la kujengea ngazi ya kupiga plasta. Linakanyagwa na fundi, msaidia fundi na kibarua.Tunakoelekea ni kubaya sana kwa kauli anazotoa mgombea wa ccm ndugu yetu John Pombe Magufuli za kuligawa taifa kwa ubaguzi wa wazi wazi anaoonyesha katika kampeni zake. Hivi Kiongozi mkubwa anayeongoza taifa anaweza kudiriki kutamka mbele ya wananchi kwamba mkichagua chama kingine mtajuta sitawaletea maendeleo? Kwa nini anyang'anye uhuru na utashi wa wananchi? Kwa nini awaone wapinzani kama siyo Watanzania? Huyu atasababisha watu kuchukiana, ccm mwonyeni mgombea wenu ana lugha za kibaguzi. Kwani watu wakichagua chama kingine wamechagua warundi au ni Watanzania wenzetu? kauli hizi siyo nzuri. Magufuli acha ubaguzi eleza sera za chama watu watakuelewa tu
HERUFI ZOTE NI SAHIHI KWA MATUMIZI MKUU NI UCHAGUZI TUUUAndika kwa herufi ndogo mkuu
👍👍Sure
🤔🤔S
Sio ikulu mpya
Sawa sawa mkuumahindi ya morogoro kwa jamaa ambaye kanenepa awamu ya 5
Hahaaa.... Umeau mkuu🤣🤣Nipo hosp. ila nimecheka Sana kwamba hajaanza Kula mahindi kwani yeye genda eka? Kipindi hiki atakula hadi michembe matobolwa mlenda aina ya mwage wamdhibiti Kula asijeleta shida ya kuchimba dawa mara ooh tumbo maana anaweza kwenda sehemu akala maboga, mahindi ya kuchoma, miwa, mayai akajikuta anapiga viboli.