Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Watasema umetumwa!
Misukule ya lumumba mpo kazini
Screenshot_20200906-130837.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hawezi kuwatrace hawa manjagu akawaadabisha kwa kumpiga tanganyika jeki 'muheshimiwa' kama ambavyo Meko amedeal na wote waliowahi kumpa shit akiwa bado kidampa?
Hahah hua nna wasiwasi sana na hatma za hao jamaa mpk leo,ukute alishawapiga figisu figisu wakatupwa vituo vya kazi huko maporini.
 
Si mtoto was kiislam huyu ilikuwaje akavuliwa ushungi na miwani maana naambiwa mtu anayetakiwa kuona nywele ni mmewe peke yake sasa DAB ilikuwaje akaona nyweleeeee... Haya mambo banaa
[emoji12][emoji39][emoji3059]
 
Ccm hatupigi kampeni. Tunasherehekea miaka 5 ya mafanikio. That's why unaona wasanii hao
 
Wadeni wa lissu wakaondoa ulinzi katika maeneo ya viongozi yanayolindwa 24/7?Wadeni wa Lissu wakazuia uchunguzi!Wadeni wa Lissu wakamnyima haki yake ya kugharamiwa matibabu!Wakampoka a ubunge!
Kweli wadeni wa Lissu wana nguvu!
Well said my friend....[emoji106][emoji123]
 
Back
Top Bottom