Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Najua kuwa ana njaa kupitia post aliyo itoa,Unajuaje kama ana njaa. Jibu hoja usijitoe ufahamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua kuwa ana njaa kupitia post aliyo itoa,Unajuaje kama ana njaa. Jibu hoja usijitoe ufahamu
OkHata mimi nikwambie tu ukweli kwamba una ukipofu na hauoni chochote cha maana
Hahah hua nna wasiwasi sana na hatma za hao jamaa mpk leo,ukute alishawapiga figisu figisu wakatupwa vituo vya kazi huko maporini.Hivi hawezi kuwatrace hawa manjagu akawaadabisha kwa kumpiga tanganyika jeki 'muheshimiwa' kama ambavyo Meko amedeal na wote waliowahi kumpa shit akiwa bado kidampa?
Unafiki mtupu.Akiomba Dua na kumshukuru yeye atoaye.
Ni jambo jema na ishara ya unyenyekevu.
Safari inaendelea vizuri sana na ushindi ni dhahiri.
Umepanic mnajulikana vijana wa ufipa mashambulizi ya Ngosha yanawachanganya!Sijui kama huwaga unazishirikisha akili zako kabla hujaandika huo upotolo wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Itafahamika tu trh28!
Watasema umetumwa!
Na chakubangaNitumwe na nani ? Ukweli ndio huo wapinzani wanaingia kupambana JPM eti kwa kutumia Membe na Lissu ! Yaani mmh wanatia hadi huruma.
acha kumfananisha rais lissu na hilo likiloba la pambaPicha ya Msechu nilidhani Lissu
[emoji12][emoji39][emoji3059]Si mtoto was kiislam huyu ilikuwaje akavuliwa ushungi na miwani maana naambiwa mtu anayetakiwa kuona nywele ni mmewe peke yake sasa DAB ilikuwaje akaona nyweleeeee... Haya mambo banaa
Dadeeeki uzi wako wa kipashukuna umepotezewa na kuunganishwa kwenye uzi mwingine[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Umepanic mnajulikana vijana wa ufipa mashambulizi ya Ngosha yanawachanganya!
Well said my friend....[emoji106][emoji123]Wadeni wa lissu wakaondoa ulinzi katika maeneo ya viongozi yanayolindwa 24/7?Wadeni wa Lissu wakazuia uchunguzi!Wadeni wa Lissu wakamnyima haki yake ya kugharamiwa matibabu!Wakampoka a ubunge!
Kweli wadeni wa Lissu wana nguvu!
Hapo umeona hoja kweli au ndio mahaba niue?Acheni ujinga!Siyo mipasho ni ukweli mchungu