Tukiachilia mbali kile KIWANDA CHA MATUSI. NA KIKI ZA MIUJIZA, nani mpinzani wa Jemadariii ,MAGUFULI??
hata hizi kampeni anazofanya Magufuli nikutimiza wajibu tuuuu. Hata akiamua kujitulia ikulu ushindi wa asilimia mia, ukopale pale.
Kwa mara ya kwanza toka uhuru Magufuli atafungulia dimba kwa kupata asilimia miamojaa.Tangu tupate uhuru hakuna raisi kawahi kupata 100%. Hata Nyerere na kupendwa kote kule hakuwahi kupata 100%
Wanaonadi chama mitandaoni ni wapinzani, mfano kama humu JamiiForums, CCM ilishashiiinda muda mreefu.Naona Bashiru ametoa Order kuwa kila kada wa CCM mwenye akaunti Twitter anapaswa kumnadi Magu, la sivyo atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.
Mambo ni magumu huko field.
Raia wamekuwa wagumu.
Mpitimbi, Matombo, Nakapanya Nanyamba, Igoshilyambati, na Namanyele nako wamehamasika? Tanzania kubwa!!Sasa ni wazi!! Uchaguzi wa kihistoria Tanzania ni mwaka huu!!
Ccm inahali mbaya ipiiiii, maaaana sioni wapinzani wowotee, wapinzania wa ccm asilimia kubwa wako wananadi KIKI badala ya kunadiiii sela zao.
Tokazamani Magufuli anaongea lugha mbali mbali hata lugha yako anaiweza tuuuu.Anaongea kisukuma ili iweje kama sio amepanick?
Hapa haya mataga yameambiwa buku 7 zitatolewa baada ya mkutano ndiyo maana yanakomaa hapo ni saa 12 jioni na yalibebwa kwenye malori kuletwa hapo mkutanoni asubuhi saa kumi.Hivi ndio hali mbayaView attachment 1562296
Matusi nijadi yenu, na tena ndio mko nayanadi kupitia kile KIWANDA CHENU CHAMATUSI.Rudi shule ukajifunze kuandika ww kilaza.
Tokazamani magufuli anaongea lugha mbali mbali hata lugha yako anaiweza tu.
Achalia mbali mzeee wa kiki na miujiza mwenye lafudhi ya Kinyatulu.
Sheria gani inayozuia mtu kuongea lugha inayoeleweka kwa ummaa?Sheria za uchaguzi haziruhusu kutumia kilugha. Kapanick ndio maana anaongea kilugha kusaka huruma ya wasukuma wakati sio msukuma.
Hujui maana ya asilimia mia rudi kwa mwalimu wako.Tukiachilia mbali kile KIWANDA CHA MATUSI. NA KIKI ZA MIUJIZA, nani mpinzani wa Jemadariii , MAGUFULI??
hata hizi kampeni anazofanya Magufuli nikutimiza wajibu tuuuu. Hata akiamua kujitulia ikulu ushindi wa asilimia mia, ukopale pale.
Kwahiyo Bashiru Hana akili?Wanaonadi chama mitandaoni ni wapinzani, mfano kama humu jamiii forum, ccm ilishashiiinda mdamreefu.
Nyie mbumbumbu ndio mnafanya CCM iendelee kutawalaMatusi nijadi yenu, na tena ndo mko nayanadi kupitia kile KIWANDA CHENU CHAMATUSI.
Tukaneniiii tuuuu kila aina ya matusiiii. Hatukotayali kupeleka kiwanda cha matusi ikulu.
Hivi Chakupanga Slow Slow yupo wapi siku hizi?Hao watu wapo ICU na wanapumulia mashine.
Hivi Chakupanga Slow Slow yupo wapi siku hizi?
Tukiachilia mbali kile KIWANDA CHA MATUSI. NA KIKI ZA MIUJIZA, nani mpinzani wa Jemadariii, MAGUFULI?
hata hizi kampeni anazofanya Magufuli nikutimiza wajibu tuuuu. Hata akiamua kujitulia ikulu ushindi wa asilimia mia, ukopale pale.
Si mara moja wala mara mbili nimesikia hasa katika matukio ya uzinduzi viongozi waliopewa dhamana na JPM mwenyewe wakimuaminisha kuwa kazi ameshaimaliza hana haja ya kuzunguka 2020.
Sasa hivi wanapoyaona haya wana yapi tena ya kumuambia? Wana ujasiri wa kusema lolote tena? Au ndio wanamuambia tulia mzee haka ni kaupepo tu kanapita?
Tukiwa waungwana kutumia kilugha chako kwenye kampeini ni ukabila maana unatafuta huruma ya kabila lako kwa kuzungumza lugha yao.Sheria gani inayozuia mtu kuongea lugha inayoeleweka kwa ummaa?
Tulienii sindano iwaingie, mlipeleka kiwanda cha matusi mwanza mlidhani kanda ya ziwa wanataka matusi, na jazba na kupayukapayukaaa?