Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Tangu tupate uhuru hakuna raisi kawahi kupata 100%. Hata Nyerere na kupendwa kote kule hakuwahi kupata 100%
Tukiachilia mbali kile KIWANDA CHA MATUSI. NA KIKI ZA MIUJIZA, nani mpinzani wa Jemadariii ,MAGUFULI??
hata hizi kampeni anazofanya Magufuli nikutimiza wajibu tuuuu. Hata akiamua kujitulia ikulu ushindi wa asilimia mia, ukopale pale.