Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Wote hawa yaan mmetumia jeshi lenu lote, pamoja nakufanya siasa maiaka 5.



Lissu ni Mwamba.
Hao wote ni Wana CCM, wakifanya kampeni wewe inakuuma Nini? Nyie chadema mna wanachama wengi watumeni wakawaombeeni kura. Mnajua hawatasikilizwa ndo maana mmetanguliza huyo Lissu ili watu wamshangae.

Huyo poyoyo wenu Salum Mwalimu nae mtumeni akaombe kura Kama anavyofanya Mama Samia muone Kama Kuna mtu ataenda kumshangaa.
 
Kwa mikakati hii ya kampeni za CCM jinsi ilivyosetiwa kisayansi jamii sioni namna Tundu Lisu na wagombea wengine wa upinzani wataweza kuipenya ngome ya CCM...
Ukweli ni chama kikongwe hapa nchini,ila kinakasoro.kina ma GREAT THINKER kweli?
 
Halafu chadema wote wanategemea Lissu pekee Yake. Ujinga huu.
Kwani shida iko wapi??? Mbona wana Israël walimtegemea Daudi kupambana na Goliathi??? Na Daudi akawashindia kwa mkono wa Mungu???

CCM tulieni, watanzania tunamuelewa sana Lissu na tunamuweka ikulu hapo October 2020
 
CHADEMA ndio tunaanza campaign za jimbo kwa jimbo sasa ccm mlikotoka tunaenda kusambaratisha ndio kwanza tumeanza

Ni yeye#Lisu
 
Yule ni mama wa taifa na ule ni mji wake bwashee!

Lisu alishindwa kwenda kumwamkia mzee Mtei pale Arusha, ni utovu wa nidhamu!
Uzuri mmoja mama maria mwenyewe amesema hadharani kuwa CCM mnamlazimisha na pia Andrew Nyerere amedhibitisha kuwa mnamtisha Mama Maria.
 
Back
Top Bottom