Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kwa mtazamo wangu naona kuna makundi yanatumika na CCM kueneza propaganda zake Ila uchaguzi ukiisha watatupwa kwenye dustbin.

1. Wasanii

Hawa wanakatika majukwaani na kuonyesha tupu zao kwa (wanawake) kisa CCM ngoja uchaguzi uishe sijui mtaficha wapi sura zenu mpizojichubua.

2. Baadhi ya watumishi wa umma

Baadhi ya watumishi wa umma wanapindisha sheria na taratibu ili kuibeba CCM lakini kumbukeni kesho yenu hamuijui. Jifunzeni kwa Nape, January, Membe, Makamba Sr, Sumaye n.k. Japo hawa ni wanasiasa lakini mjue mchawi hana rafiki. Leo anakutumia kesho anakutumbua kwa aibu.

Endeleeni na makundi mengine myajuayo.
 
Kwa akili zako unafikiri wasanii wanapanda jukwaani buree? Kisa kumpenda sana Magufuli au CCM?

Wasanii wote kwenye kampeni za CCM wanalipwa vizuri tu,

Tafuta interview moja ya Ali Kiba alifanya mwezi July na EATV ipo YouTube, alisema kipindi cha Corona wasanii wamechapika mno lakini kwakuwa kampeni za uchaguzi zinakaribia kuanza basi watavuna vizuri kwakuwa yeye na baadhi yao wameshaanza kusaini ofa za hapa na pale kuanzia kampeni kuu ya urais mpaka kwa baadhi ya wagombea ubunge!

Uzinduzi kampeni ya CCM Dodoma, Diamond alipanda na dancers wake kama wa tano hv, kawasafirisha kutoka DSM, malazi yao, chakula etc hvyo vyote unafikiri vinagharamikiwa na nani kama wanaperform bure?

Kwa kukumbusha tu, Diamond na Kiba ni moja ya wasanii walioshiriki hata kampeni za CCM 2015, na baada ya hapo wameendelea kung'ara haswa katika hii industry, more than ever

Tumieni majukwaa kama haya kueneza Será na mikakati ya Chadema sio kupiga majungu
 
Nyie hangaikeni na mikakati yenu ya kutaka kuchukua nchi oktoba ! Japo hamuwezi!! , achaneni na msipimane ubavu na CCM!
 
  • Thanks
Reactions: tyc
Nyie hangaikeni na mikakati yenu ya kutaka kuchukua nchi oktoba ! Japo hamuwezi!! , achaneni na msipimane ubavu na CCM!
Labda Kama watz wote cc ni taahira ila kwakuwa tunaakili timamu CCM itaondolewa tuuuuuuuu.
 
Labda Kama watz wote cc ni taahira ila kwakuwa tunaakili timamu CCM itaondolewa tuuuuuuuu.
Mnaindoa kwa mikakati ipii? Upinzani bado sana kuingo'a CCM hamjitoshelezi ki rasilimali fedha na watu! CCM wana uhakika wa kura 8M kutoka kwa wanachama wao , nyie mnazo ngapi? Msijipe matumaini bure tu!!
 
Mnaindoa kwa mikakati ipii? Upinzani bado sana kuingo'a CCM hamjitoshelezi ki rasilimali fedha na watu! CCM wana uhakika wa kura 8M kutoka kwa wanachama wao , nyie mnazo ngapi? Msijipe matumaini bure tu!!
Low iq
 
si unaona akili zenu sasa, kwamba sisi tanzania kazi yetu kuwanufaisha pilots wa nchi zingine si ndio? hawa wa kwetu wafanye nn? opportunity ipo, watalii wapo, tuuze izo ajira kwa wengine si ndio?? uko timam kichwan?
Kwahiyo unanunua ndege ili kutoa ajira kwa mapilot au?Utawamaliza wote?Hebu tuambieni hizo ndege zimepiga route zipi na kwa mafanikio kiasi gani tokea zinunuliwe!
Kwanini mnazuia CAG asitie pua huko ATCL wakati ni shirika la umma na linapaswa kukaguliwa ili report iende bungeni?
Hao mapilot kama ni competent,wangeweza kupata ajira kwenye mashirika binafsi yanayooperate hapa nchini!Sio lazima serikali inunue ndege ili wapate ajira!!!
Dreamliner moja ni zaidi ya mara 3 ya bajeti ya kilimo kwa mwaka mzima ambapo sekta hii hutegemewa na zaidi ya 70% ya watanzania!Hapo hapo bado pesa inayokwenda kwenye kilimo ni chini ya 40% ya bajeti!Hiyo ni akili au matope?
 
Kwahiyo unanunua ndege ili kutoa ajira kwa mapilot au?Utawamaliza wote?Hebu tuambieni hizo ndege zimepiga route zipi na kwa mafanikio kiasi gani tokea zinunuliwe!
Kwanini mnazuia CAG asitie pua huko ATCL wakati ni shirika la umma na linapaswa kukaguliwa ili report iende bungeni?
Hao mapilot kama ni competent,wangeweza kupata ajira kwenye mashirika binafsi yanayooperate hapa nchini!Sio lazima serikali inunue ndege ili wapate ajira!!!
Dreamliner moja ni zaidi ya mara 3 ya bajeti ya kilimo kwa mwaka mzima ambapo sekta hii hutegemewa na zaidi ya 70% ya watanzania!Hapo hapo bado pesa inayokwenda kwenye kilimo ni chini ya 40% ya bajeti!Hiyo ni akili au matope?
Zipo hapo airport hata kusogezwa sijui kama hua zinasogezwa, kila siku ziko hivyo hivyo
 
Kwahiyo unanunua ndege ili kutoa ajira kwa mapilot au?Utawamaliza wote?Hebu tuambieni hizo ndege zimepiga route zipi na kwa mafanikio kiasi gani tokea zinunuliwe!
Kwanini mnazuia CAG asitie pua huko ATCL wakati ni shirika la umma na linapaswa kukaguliwa ili report iende bungeni?
Hao mapilot kama ni competent,wangeweza kupata ajira kwenye mashirika binafsi yanayooperate hapa nchini!Sio lazima serikali inunue ndege ili wapate ajira!!!
Dreamliner moja ni zaidi ya mara 3 ya bajeti ya kilimo kwa mwaka mzima ambapo sekta hii hutegemewa na zaidi ya 70% ya watanzania!Hapo hapo bado pesa inayokwenda kwenye kilimo ni chini ya 40% ya bajeti!Hiyo ni akili au matope?


WTF! nmekupa mfano tu mbuzi wewe, kwan unadhan ndege znaajiri pilots tu? how about engineers? how about air hosts? to mention a few! ndege its a must for any sovereign state, huezi endesha nchi hauna usafiri wa anga, nkupe mfano! umeona iki kipindi cha corona, watanzania waliokua wamebaki china unajua walifuatwa na ndege gan? that 1

2. ndege ni usafiri wa haraka, sio kila mtu ni mkulima hii nchi, wewe hauezi endesha nchi ya wakulima tu! kuna watu wanataka usafiri wa haraka kufanikisha mambo yao, we unawaza kilimo tu! na lazima ujue ndege ni expensive duniani kote and thats how economics are, unaweza zaliwa maisha yako yote usipande ndege na mwingine anaweza akawa anaishi angan miaka yake yote! hata tundu lissu anatumia ndege kuhakikisha anawahi mikoa tafaut kufanya kampeni! no comment on that

3. izi porojo mnaongea tokea miaka ya 90 tushawaskia na tushwachoka! ndo maaana hata wanachama wenu wenyewe wanawahama wapuuzi nyie
 
WTF! nmekupa mfano tu mbuzi wewe, kwan unadhan ndege znaajiri pilots tu? how about engineers? how about air hosts? to mention a few! ndege its a must for any sovereign state, huezi endesha nchi hauna usafiri wa anga, nkupe mfano! umeona iki kipindi cha corona, watanzania waliokua wamebaki china unajua walifuatwa na ndege gan? that 1

2. ndege ni usafiri wa haraka, sio kila mtu ni mkulima hii nchi, wewe hauezi endesha nchi ya wakulima tu! kuna watu wanataka usafiri wa haraka kufanikisha mambo yao, we unawaza kilimo tu! na lazima ujue ndege ni expensive duniani kote and thats how economics are, unaweza zaliwa maisha yako yote usipande ndege na mwingine anaweza akawa anaishi angan miaka yake yote! hata tundu lissu anatumia ndege kuhakikisha anawahi mikoa tafaut kufanya kampeni! no comment on that

3. izi porojo mnaongea tokea miaka ya 90 tushawaskia na tushwachoka! ndo maaana hata wanachama wenu wenyewe wanawahama wapuuzi nyie
Jumlisha crew nzima,huwezi kusema unatengeneza ajira kwa kununua ndege!!Sio signficant kabisa maana ni watu wachache wanaonufaika!
Kwa mazingira na uendeshaji wa ndege,ni mzigo kwa serikali!Jiulize kwanini CAG amezuiwa kukagua ATCL?Usafiri wa anga sio lazima wewe kama serikali ndio umiliki ndege za biashara,unaweza kuvutia makampuni na wakaleta ndege zao kuoperate!Hapa ajira zinapatikana lakini pia unakuwa hujaathiri uchumi!Mzunguko wa fedha uko chini nchini kwa miaka hii 5 ni kutokana na fedha nying kutoka kwa walipa kodi kwenda kwenye makampuni ya nje!Taarifa ya mabank inaonesha uwezo wa watanzania kukopa na kurejesha mikopo umeshuka,hii ni kutokana na ukata wa fedha hivyo uwekezaji kwenye vitega uchumi unakuwa mgumu kuleta matokeo chanya na kwa wakati!Hii yote ni athari ya kuendea miradi mikubwa kwa pupa ambayo inachukua fedha nyingi!Kwahiyo nilipotolea mfano kilimo hilo ni eneo moja tu!
Nakushangaa eti kufuata wananchi china nayo ni hoja kwanini ndege ni muhimu,akili yako inachekesha!Hilo hata wewe unapaswa ujicheke kwa kuliweka kama hoja!
Je,tumejifunza nini kwa nchi kama Kenya,Rwanda na Ethiopia ambao wametutangulia kuwekeza kwenye ndege?Tunasikia wanapata hasara na serikali ndio zinabeba huo mzigo!Sisi hatujui uhalisia wa hizi ndege zetu,mpaka sasa zimetuingiza hasara kiasi gani?
Kwa mazingira yaliyopo,manunuzi ya ndege zote hizi hayakuwa sahihi!
 
Jumlisha crew nzima,huwezi kusema unatengeneza ajira kwa kununua ndege!!Sio signficant kabisa maana ni watu wachache wanaonufaika!
Kwa mazingira na uendeshaji wa ndege,ni mzigo kwa serikali!Jiulize kwanini CAG amezuiwa kukagua ATCL?Usafiri wa anga sio lazima wewe kama serikali ndio umiliki ndege za biashara,unaweza kuvutia makampuni na wakaleta ndege zao kuoperate!Hapa ajira zinapatikana lakini pia unakuwa hujaathiri uchumi!Mzunguko wa fedha uko chini nchini kwa miaka hii 5 ni kutokana na fedha nying kutoka kwa walipa kodi kwenda kwenye makampuni ya nje!Taarifa ya mabank inaonesha uwezo wa watanzania kukopa na kurejesha mikopo umeshuka,hii ni kutokana na ukata wa fedha hivyo uwekezaji kwenye vitega uchumi unakuwa mgumu kuleta matokeo chanya na kwa wakati!Hii yote ni athari ya kuendea miradi mikubwa kwa pupa ambayo inachukua fedha nyingi!Kwahiyo nilipotolea mfano kilimo hilo ni eneo moja tu!
Nakushangaa eti kufuata wananchi china nayo ni hoja kwanini ndege ni muhimu,akili yako inachekesha!Hilo hata wewe unapaswa ujicheke kwa kuliweka kama hoja!
Je,tumejifunza nini kwa nchi kama Kenya,Rwanda na Ethiopia ambao wametutangulia kuwekeza kwenye ndege?Tunasikia wanapata hasara na serikali ndio zinabeba huo mzigo!Sisi hatujui uhalisia wa hizi ndege zetu,mpaka sasa zimetuingiza hasara kiasi gani?
Kwa mazingira yaliyopo,manunuzi ya ndege zote hizi hayakuwa sahihi!

1.hakuna sehem atcl imeripoti hasara, na hakuna sehem wanatoa takwim za mapato ya atcl so be genuine!
2. miradi ya serikali sio lazima itengeneze profit, as long ni serikali inaweza kua huduma kama huduma zingine!

3. get your facts right, hata kama serikali itafanya miradi yote tanzania nzima hakuna sehem pesa ztaenda nje ya nchi, hakuna mtu anatrade na tsh globally, tsh sio global reserve currency! all tsh znaishia apa apa tz, at the end of the day money is only exchanged as depts, so umeongea pumba!

4. hata kama CAG akikagwa and report losses it doesnt change anything kwa sababu usafiri wa anga ni muhimu at all costs
5. kipindi atcl ina ndege moja cdm ndo walikua wanaotoa kelele sana kuhusu ili shirika! then what happend after zmenunuliwa?
 
1.hakuna sehem atcl imeripoti hasara, na hakuna sehem wanatoa takwim za mapato ya atcl so be genuine!
2. miradi ya serikali sio lazima itengeneze profit, as long ni serikali inaweza kua huduma kama huduma zingine!

3. get your facts right, hata kama serikali itafanya miradi yote tanzania nzima hakuna sehem pesa ztaenda nje ya nchi, hakuna mtu anatrade na tsh globally, tsh sio global reserve currency! all tsh znaishia apa apa tz, at the end of the day money is only exchanged as depts, so umeongea pumba!

4. hata kama CAG akikagwa and report losses it doesnt change anything kwa sababu usafiri wa anga ni muhimu at all costs
5. kipindi atcl ina ndege moja cdm ndo walikua wanaotoa kelele sana kuhusu ili shirika! then what happend after zmenunuliwa?
Daaah!!!!!
1,3&4 >Wewe hustuki kutokuwa na taarifa zozote juu ya ATCL?Hizi ndege hata zikiwa zimepaki bado ni gharama kubwa kuzitunza!Usafiri wa anga ni muhimu ila usiseme at all cost!No way,sio lazima serikali ndio iwe mmiliki wa usafiri wa anga!Kama ni mzigo basi sekta binafsi ziachiwe zifanye kazi!Hapa ndio dhana nzima ya ubinafsishaji inapokuja,serikali ni vigumu kufanya biashara!Zaidi itatoa huduma na hapa ndipo hasara huanzia!Ndio yaleyale ya UDA na mwendokasi!
 
1.hakuna sehem atcl imeripoti hasara, na hakuna sehem wanatoa takwim za mapato ya atcl so be genuine!
2. miradi ya serikali sio lazima itengeneze profit, as long ni serikali inaweza kua huduma kama huduma zingine!

3. get your facts right, hata kama serikali itafanya miradi yote tanzania nzima hakuna sehem pesa ztaenda nje ya nchi, hakuna mtu anatrade na tsh globally, tsh sio global reserve currency! all tsh znaishia apa apa tz, at the end of the day money is only exchanged as depts, so umeongea pumba!

4. hata kama CAG akikagwa and report losses it doesnt change anything kwa sababu usafiri wa anga ni muhimu at all costs
5. kipindi atcl ina ndege moja cdm ndo walikua wanaotoa kelele sana kuhusu ili shirika! then what happend after zmenunuliwa?
Daaah!!!!!
1,3&4 >Wewe hustuki kutokuwa na taarifa zozote juu ya ATCL?Hizi ndege hata zikiwa zimepaki bado ni gharama kubwa kuzitunza!Usafiri wa anga ni muhimu ila usiseme at all cost!No way,sio lazima serikali ndio iwe mmiliki wa usafiri wa anga!Kama ni mzigo basi sekta binafsi ziachiwe zifanye kazi!Hapa ndio dhana nzima ya ubinafsishaji inapokuja,serikali ni vigumu kufanya biashara!Zaidi itatoa huduma na hapa ndipo hasara huanzia!Ndio yaleyale ya UDA na mwendokasi!

3>Wewe ndie umeongea pumba!Wakulima wanapouza mazao yao nje lets say korosho,serikali huingiza fedha za kigeni!Sasa kama pesa hii yote unaenda kulipa kwa mkupuo kwenye makampuni ya nje,maana yake unapunguza uwezo wako wa kununua bidhaa kutoka nje! Pesa ambayo ingetumika kuboost maendeleo ya watu inakuwa inaenda nje moja kwa moja!

Wakati ilipaswa % kubwa ifanye shughuli zenye kuongeza mzunguko wa ndani!Miradi kama usambazaji wa umeme ni miradi ambayo ina tija kwa maana ya ajira,vitendea kazi na resources kwa kiwango kikubwa hupatikana hapa hapa nchini lakini pia mradi unaoenda kugusa maisha ya wengi!

5>Hayo ya Chadema waulize wao, usiniulize mimi!
 
Back
Top Bottom