Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwongo mtupuLeo Rais Magufuli amedema bima ya afya ipo inakuja muda sio mrefu kuanzia Sasa.
Amesema inawezekana watu kupewa bima na kila mmoja kuipata
View attachment 1563145
Zilizopo hivi Sasa,ubora was huduma unaporomoka kwa Kasi ya 5G badala ya kuimarika kwa wenye nazo,kweli itawezekana katika mazingira ya Sasa,kupatikana kwa Kila mmoja? Mimi yangu macho,ila pia Kama kweli ,kwanini iwe wakati huu,na sii kabla ya wakati huu?Leo Rais Magufuli amedema bima ya afya ipo inakuja muda sio mrefu kuanzia Sasa.
Amesema inawezekana watu kupewa bima na kila mmoja kuipata
View attachment 1563145
Ni jambo jema!Leo Rais Magufuli amesema bima ya afya ipo inakuja muda sio mrefu kuanzia Sasa.
Amesema inawezekana watu kupewa bima na kila mmoja kuipata
View attachment 1563145
Ni kweli kabisa,huwezi kuweka kipaumbele ununuzi wa ndege kwa nchi kama Tanzania ukaacha kilimo ambacho 70 kinawagusa watanzania!
Mkuu, hiyo serikali yako ya WATEKA NYARA, kubambikia kesi zisizo na dhamana na kucharaza mvua za risasi raia wema MCHANA KWEUPE haikubaliki kwa sasa.Kwani mmenyimwa na nyie kuweka wasanii? kwani ccm peke yake ndio wanaweka wasanii kwenye majukwaa? ACT mpaka NEY wa Mitego yupo, tafuteni sera ingine hii ishachacha
Magufuli ana followers 910K twitter, Tundu Lissu ana 100K, mpaka apo tumefunga mada
Ni kweli kabisa,huwezi kuweka kipaumbele ununuzi wa ndege kwa nchi kama Tanzania ukaacha kilimo ambacho 70 kinawagusa watanzania!
Lissu ni miongoni mwa watanzania wachache wenye uwezo wa kupanda ndege,na hapa ndipo unapaswa kuona akili kubwa ya Lissu!Hajifikirii yeye bali watanzania wenye hali mbaya!Masuala ya ndege yangeachiwa sekta binafsi na serikali ikabaki kuwa na ndege chache tu!
Tulichoshindwa ni kutengeneza mazingira mazuri ya uwekezaji ili kuvutia mashirika kuleta route za ndege zao hapa nchini kwetu!
Nawashangaa wengi mnaonesha hiyo picha ya Lissu na kudhani mmepata hoja kumbe mnaonekana mapopoma tu!