Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Basi apumzike tuu maana hata chuma ukiinyoosha sana inakatikagaTena alisukumiziwa humo, bila hiyari
Kwa hiyo aliona kuna uwezakano tayari wa kuongezaJamaa ana kauli tata kweli, halafu anasema kama atapewa mitano mingine basi ndio itakua mwisho, hatoongeza zaidi.
Hata Tundu Lisu alianzia huko.....kanda ya ziwa ina kura zaidi ya milioni 10!Wana CCM sehemu nyingine tunajisikia wanyonge.
Nguvu kubwa ya mgombea Urais imeelekezwa Kanda ya Ziwa peke yake.
Naona sasa hivi Mh Rais anatembelea wilaya hadi wilaya huko Kanda ya Ziwa.
Siyo bure kuwa maendeleo mengi katika kipindi hiki cha miaka 5 iliyopita yameelekezwa huko huko Kanda ya Ziwa.
Je , watanzana tunataka kumpigia kura mh Rais wa Kanda ya Ziwa au Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Mtu mwenye akili atang'amua kuwa kwa mahesabu yaiyopigwa ni kwamba mgombea wa CCM akipata kura za kutosha Kanda ya Ziwa wengine hata wasipompigia kura ni poa tu.
Hii ni kuua Utanzania.
Hatuchagui Rais wa Kanda ya Ziwa , tunataka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wapambe wa Rais wamwambie vile vile kuwa Rais akitembelea wilaya zote za Tanzania itakuwa vizuri zaidi ili wamweleze watakacho kwa miaka mitano ya mbeleni
Lissu kaanzia Dar kaenda arusha akaenda mwanza akaenda shy tabora dom mbeya mtwara then zenji hakukaa kanda ya ziwa kama huyu bwana na ukizingatia nguvu inayotumika huku kanda ya ziwa ni kubwa saaana na ndiko hakubariki kiivyo pia ndo maana anatumia kuchafua mji kwa mabango kusomba mpk watoto wetu kuwaletea burudani badala ya sera naona wanaandaa kuiba kura nyingi za urais huku lake zoneHata Tundu Lisu alianzia huko.....kanda ya ziwa ina kura zaidi ya milioni 10!
Kwani kwingine hakuna watu, so akipata kura za huko wengine ni makapi tu?Hata Tundu Lisu alianzia huko.....kanda ya ziwa ina kura zaidi ya milioni 10!
Biashara asubuhi jioni mahesabu bwashee!Kwani kwingine hakuna watu, so akipata kura za huko wengine ni makapi tu?
Nguvu yao ipo wakitembea pamoja,Ccm wametawanyika nchi nzima
Magu anashambulia
Kikwete anashambulia
Pinda
Makamu wa rais
Majaliwa
Na wengine wengi
Chadema wanatembea fungu moja wote badala watawanyike