Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Ukisoma comments katika tweet hii hapa utagundua kuwa Watanzania wana Ufahamu sana kuliko dhana aliyo nayo Mgombea wa CCM kichwani mwake kuwa Wapiga kura hawajui chochote kuhusu pumba na mchele katika kauli zake... akiongea pumba tu wanampa za Uso na kumrudisha huko alikotoka; wenye akili ndani ya CCM kama Wapo nadhani wanaona aibu sana kuwa na Mgombea kama huyu
Soma comments:
“Ndugu zangu Watanzania msichague Watu wa majaribio katika uongozi, uongozi sio wa kujaribu madhara yake makubwa, zipo Nchi zilijaribu uongozi madhara yake mnayaona, mpaka leo zinapigana, usalama hakuna, kabila moja wanapigana, amani haipo” -JPM akiwa Geita
#MillardAyoUPDATES https://t.co/VkTiTLmp31
Soma comments:
“Ndugu zangu Watanzania msichague Watu wa majaribio katika uongozi, uongozi sio wa kujaribu madhara yake makubwa, zipo Nchi zilijaribu uongozi madhara yake mnayaona, mpaka leo zinapigana, usalama hakuna, kabila moja wanapigana, amani haipo” -JPM akiwa Geita
#MillardAyoUPDATES https://t.co/VkTiTLmp31