Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Hivi unamtoza mmachinga kodi ya 20k kwa mwaka wakati wewe mshahara wako hulipi kodi . Unapora KOROSHO za watu na kuwalipa kwa mafungu
Daah! Anaumiza Sana uchumi wa mwananchi mmoja mmoja huyu jamaa
 
Ni fahari sana kudharauliwa na mtu wa Chadema, nitakosa amani siku Rais Magufuli akiniambia ananidharau, Kwasababu yeye ndiye Mzalendo namba moja

Chadema insyotumika na Wazungu wakinidharau Nafurahi mno
Tunakudharau sana hapa
 

Ni mnyapala wa barabara tu.
 
Kumbe kiongozi anatakiwa aendeshe kwa matakwa ya nani kama siyo wao wananchi?

Kwa matakwa yake yeye kiongozi? Huo ndiyo udikteta uliyokomaa.
Kila mtu akija na matakwa yake na akasisitiza yatekelezwe huyo hatakuwa rais.
Nyumba inakuwa na kiongozi na rais ndio mwenye kazi ya kuongoza nchi.
Hakuna nchi yenye kujiendea tu kwa rais kumsikiliza kila mtu. Ni lazima nidhamu iwepo ili nchi isonge mbele.
 
kujipa matumaini ni jambo zuri bt huu chaguzi chadema wataangukia pua mpaka hawatasahau, kama mtafikisha wabunge 10 basi mshukuru propaganda za bwana lissu.
 
View attachment 1567011 Angalia wenzio wanasombwa wakamwone lissu, mwakilishi wa Wazungu
Uwezo wakufikili huwa unapmwa kwamambo Kama aya..... sasaiv naona mnatumia Nguvu nying kuamnisha watu kuwa huwa ata Chadema wanabeba watu....mnaangaika kla Kona kufatlia matukio yachadema,huu niupumbavu nautoto kwann uskubal tu kuwa unasomba watu paka ushindane,Kwan mmeanza mwaka huu?aya tafuta na za Fiesta yachadema ili tuone unavyopambana nampinzani wako kuamnsha watu ujinga
 
kujipa matumaini ni jambo zuri bt huu chaguzi chadema wataangukia pua mpaka hawatasahau, kama mtafikisha wabunge 10 basi mshukuru propaganda za bwana lissu.
Nini kinakupa jeuri ya kujipa matumaini haya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…