Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Mambo ya kawaida. Na hata Magufuli asipofanya kampeni anashinda tuuuu
 
Yeye kapiga kampeni, Kanda ya ziwa na hatimae kafika kijijini kwao kaamua kupumzika, kumuona mama yake, Kama ilivyokawaida yake, hupapenda kwao tofauti na maraisi wangine waliowahi kupita.
Sasa Kama hicho ndo kinachowapa furaha , na kuwafariji, Ni dhahiri kuwa jamaa alikuwa akiwachanganya Sana. Hata ivyo, ikumbukukwe kuwa yeye anatumia usafiri wa chini, na amefanya hivyo kwa kipindi kirefu hivyo kupumzika sio Jambo la kuhoji.
Acheni kubweka🗣️, hakutakuwa na mtelezo wowote kwenu, na ikulu mtaisikia tu😂😂.
 
Kusema kampeni za CCM ni ngumu ni vichekesho. Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 90%

Rafiki zetu wa CHADEMA mtaula wa chuya huu mwaka hampati hata mbunge.
Sasa kama ni rahisi hivyo kwanini basi anafanya kampeni tena si yeye tu kama mgombea bali na wastaafu na wasanii zaidi ya 200?
 
Kalia falsafa za kizee eti slow but sure, watu wanakwenda fast but accurate.
Sio kila kitu fast but accurate pilau huwa haipikwi fast!!!! Pilau sio fast food!!! inategemea unaongelea nini.Tatizo la kusoma kwa kukariri ndilo hilo.Ukiambiwa fast and accurate unaona tayari mjuaji kuwa kila shughuli inatumia hiyo principle!! Hakuna kitu kibaya kama mtu kusoma kwa kukariri na sio kuelewa

Mikutano ya siasa hatuendi kama Chadema unakuta hata kijukwaa cha kuhutubia Lisu anasimama juu ya meza ya kuuzia mitumnba.Angalia vijukwaa alivyotumia Lisu bagamoyo na morogoro ni mgombea uraisi kusimama vijukwaa kama vya Lisu au Membe

Sisi quality ni muhimu kwetu mkutano uwe highly organuzed logistics zote yakiwemo majukwaa sound system nk Akienda akute kila kitu classic
 
Show moja ya Magufuli za Tundu Lisu ni tatu hadi tano sasa hapo unajinasibu kuwa tundu ana madhara? Show ya Majaliwa au mama Samia ndio show ya Tundu, na pengine hata show za Tundu hazifikii za wabunge wa CCM

Kwa hiyo Tundu tunampa level ya wabunge, ni kama nae anagombea ubunge na sio Uraisi
 
Magufuli hawezi kuacha ofisi muda wote. Yeye bado ni rais na mtumishi wa watanzania na sasa yuko ikulu anafanya kazi za watanzania
Akimaliza hapo atarudi ulingoni kutetea kiti chake

Aliacha ofisi akaenda Chimbo Chato miezi miwili, safari hii ndio anaikumbuka sana ofisi? - Si mlisema rais anaweza kufanyia kazi mahali popote, sasa kwa nini arudi Ikulu?
 
Back
Top Bottom