Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Ni ratiba mkuu, ana siku mbili za kupumzika Kama lisu alivyo pumzika.
 
Mkuu achana na hao🖕 nyumbu, unajipa tabu bure tu.
 
Ni ratiba mkuu, ana siku mbili za kupumzika Kama lisu alivyo pumzika.

Lissu ana haki ya kupumzika maana alipiga kazi nzito
Sasa huyu vikampeni vinne ulimi nje!

Bora aachane na biashara za urais akapumzike zake Chato aache wrnye nguvu wapige kazi ya kurejesha haki nchini
 
Ukiwa na viongozi wanne wanaofanya kampeni katika maeneo manne tofauti sio sawa na mmoja anaye kampeni sehemu moja tu.

Suala la ubora wa utekelezaji wa sera ndio linaloibeba CCM.

Narudia tena, wingi sio ubora. Watanzania tupo wengi na tuna ardhi kubwa kuliko Sweden au Uswisi, lakini sisi ni masikini wa kutupwa. Hivyo wingi au ukubwa bado haiminishi ubora. Dunia ya sasa kipimo cha kwanza ni ubora na sio wingi.

Kuwa na wingi wa mikutano haimaanishi ina ubora wa content. Utekelezaji wa sera ya ccm hayo ni malengo waliyojiwekea ccm, na sio matamanio ya wananchi. Ukitaka kujua ilani ni mipango ya chama na sio lazima iwe matamanio ya wananchi, angalia mkutano wa masaa tuseme matatu, masaa mawili ni burudani, nusu saa ni wapambe kujisifia wao na chama chao, kisha mgombea anatumia dakika 10-15 kuhubiri atakacho. Hakuna mwananchi anauliza chochote, wala kushauri chochote. Katika mazingira kama hayo una uhakika gani kuwa hiyo ilani ya chama imekidhi matamanio ya watu, zaidi ya watu kushurutishwa kukikubali chama?
 
endeleeni kutunga uongo
Unasoma mambo nusu nusu; ndiyo iliyoongelewa kwenye thread nyingine jinsi chadema obnline walivyo na hasira. Post yangu haijasema uwongo wowote bali inatoa possible scenarios, lakini wewe tayari umeshafura. Punguza munkali, kwa hali hii mgombea wako akishindwa unaweza kupata ugonjwa wa moyo.
 

Kumbe bado Ni rais?! Nilijua ameshakabidhi madaraka kwa kujibu wa sheria ya uchaguzi na Katiba..

Huyo ni mgombea wa urais na sio rais wa nchi...
 
Aliacha ofisi akaenda Chimbo Chato miezi miwili, safari hii ndo anaikumbuka sana ofisi? - Si mlisema raisi anaweza. kufanyia kazi mahali popote, sasa kwa nini arudi Ikulu?
Kwani Chato hakuna ofisi? Hukuwa unaona kazi zikiendelea toka ikulu ya Chato?
 
Huyu kakimbia nchi huyu pumzi imekata 😄😄😄😄
 
Kumbe bado Ni rais?! Nilijua ameshakabidhi madaraka kwa kujibu wa sheria ya uchaguzi na Katiba..

Huyo ni mgombea wa urais na sio rais wa nchi...
Kwahiyo kwa akili zako, nchi haina Rais kwa sasa😳? Hivi we jamaa zimo kweli🤔?
 
Reactions: nao
Magufuli hawezi kuacha ofisi muda wote. Yeye bado ni rais na mtumishi wa watanzania na sasa yuko ikulu anafanya kazi za watanzania
Akimaliza hapo atarudi ulingoni kutetea kiti chake

Ndio umeandika Nini...

Kama Ni rais anaomba kupigiwa kura za Nini?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…