Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kusema kampeni za CCM ni ngumu ni vichekesho. Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 90%

Rafiki zetu wa CHADEMA mtaula wa chuya huu mwaka hampati hata mbunge.
Huna unachokijua, natamani siku moja niandike kinachoendelea lakini roho inasita
 
Kwahiyo kwa akili zako, nchi haina Rais kwa sasa😳? Hivi we jamaa zimo kweli🤔?

bado ni rais; katiba haimuwondolei urais mpaka siku rais mwingine akiapishwa. Rais mawaziri, wakuu wa mikoa na spika bado wana nafasi hizo hadizinapojazwa na mwingine; nchi haiwezi kuongozwa na ombwe.

View attachment 1567144

Weka na Sheria ya uchaguzi ambayo inampa hicho cheo Cha urais....

Ilipaswa ht hao mawaziri waache kufanya kazi na kuwaachia makatibu wa wizara... Lkn kwa kuwa madaraka Ni ya kulevya wanajiona bado Viongozi.... Rais na mawaziri hawatakiwi kuwepo ofisini kipindi Hiki Cha uchaguzi..
 
Si baada ya round hii ya Kwanza ratiba inaonyesha ana mapumziko
Then kutakua na round ya pili na ya tatu.
Au mimi Ndio naitazama ratiba vibaya.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au ame-left kampeni!! Sijafuatilia kampeni safari hii, hivi zile push-ups bado zipo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akienda hata moja haamki nakwambia
 

Hiyo tarehe 28 October wala usiongee maana hakuna uchaguzi. Idadi ya wapiga kura tayari ni ya kupika, hapo unachochote cha kusifia kuwa kuna uchaguzi? Hiyo tarehe 28 ni kilele cha maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura na wala sio uchaguzi kwa maana ya uchaguzi. Unapokuwa na tumebya uchaguzi iliyoundwa na mtu kama Magufuli, utakuwa mwendawazimu kuongelea uchaguzi kwa kujisifia.
 
Pumzi imekata kakimbilia kwa mama kusema 😄😄😄😄
Kawaida yake,hajawahi kufanya Mambo kwa matakwa ya nyumbu Kama nyie, muda ukifika alioupanga kulingana na ratiba zake ataendelea na kampeni.
 
Kuna tafsiri nyingi hapa
1. Keshajihakikishia ushindi kwa njia zisizojulikana
2. Amekata tamaa
3. Uchovu na afya
4. Mbinu ya kumpumbaza adui
5.UKATA

1 na 4... HAPANA
2 na 3... Inaweza kuwa kweli.
5 Hilo haliwezekaniki maana bado Wana uwezo wa kufirisi Hazina na BoT...
 
Kwa Sheria ipi mkuu au Kwa kauli ya midomo yako tu! Katiba inautambua uwepo wao halafu wewe unakuja na kauli za kusadikika hapa
 
Pumzi imekata! Lissu hafai aisee!! Alijua mwaka huu atateremka tu mlima kitonga! Kisa amenunua ndege na kujenga flyovers. Alichokutana nacho, hatokuja akisahau kamwe.

Hili ndilo somo sahihi la kudhani maendeleo ni VITU pekee!
We kenge kwani LISU hajapumzika anyooshe mguu?
 
Kuna siku nilipost kuwa nimeoteshwa moja kati ya popular candidate atajitoa kwenye uchaguzi huu kwasababu mbali mbali lakini chaajabu @moderetors waliufuta huo Uzi
Naona something will happen but @modes sikuvunja sheria kutoa kilicho moyoni
 
Ni maoni yako mkuu una haki kuwa nayo.

Kuna kazi kubwa sana inafanyika nchi nzima na walio mikoani wanaiona na ndio watakaokupa majibu kama uchaguzi ni ujinga au maonyesho.
 
Hamna sheria ambayo iko juu ya katiba kwani katiba ndiyo sheria kuu. Sheria za uchaguzi kuhus mgombea wa urais zinasema hizi

 
Magufuli ni mgombea dhaifu, ila mwenye kiburi cha madaraka. Mbona 2015 hakwenda kwenye mdahalo? Mbona JK 2010 alijiandalia mdahalo wa kichina wakati alikuwa madarakani tayari? Ukiona mtu anakwepa midahalo ujue ni muongo, hivyo anapenda kuhubiri bila kuhojiwa lolote, kusudi alishe watu akitakacho fullstop.
 
Kwamujibu wa katiba yako wewe😂, nchi inatakiwa iongozwe na nani wakati huu wa kampeni?
 

Dah yaani principle yoote hiyo umeona uipeleke kwenye pilau tu?

By the way kwani tulikuwa tunaongelea mapishi? Kwenye jambo lolote lile time ni factor muhimu sana, kisha cost na quality.

Jambo linaloweza kufanywa kwa uharaka, kwa gharama nafuu na kisha likawa na ubora hilo linakidhi viwango vyote vya ubora.
 
Kuna siku nilipost kuwa nimeoteshwa moja kati ya popular candidate atajitoa kwenye uchaguzi huu kwasababu mbali mbali lakini chaajabu @moderetors waliufuta huo Uzi
Naona something will happen but @modes sikuvunja sheria kutoa kilicho moyoni
Itakuwa ulimaanisha Membe, hawakufanya vizuri kwakweli.
 
Lissu ana haki ya kupumzika maana alipiga kazi nzito
Sasa huyu vikampeni vinne ulimi nje!

Bora aachane na biashara za urais akapumzike zake Chato aache wrnye nguvu wapige kazi ya kurejesha haki nchini
Kampeni ni quality sio quantity angalia Lisu vimiikuttani vyake aluvyofanya idadi ya watu ndogo.,vijukwaa anavyisimamia very poor,picha za mikutano mnaweka ta my edit ya 2015!! CCM ?mumecheki?
Halafu tuko ndani ya muda sawasawa na ratiba ya tume Sasa hivi ni assessment na kupokea report kabla kuinuka tena sawasawa na ratiba ya tume

Member kakimbia ratiba ya tume katelekeza

Lisu pia karuka majimbo mengine hadi sasa

CCM tuko ndani ya muda na ndani ya ratiba ya tume.Hatujaruka Jimbo hata moja
 
Mdahalo unatumiwa kwa ajili ya mtu kuelezea anakusudia kufanya nini na atatumia mbinu zipi kutekeleza makusudio yake.

Magufuli anatekeleza ilani kwa vitendo kila kukicha. Sasa mdahalo wa kazi gani wakati yeye mwenyewe na urais wake ni mdahalo tosha?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…