Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jua literemke liwachome Wale (Wapinzani )-Mama samia
Risasi risasi risasiJPM hiyo ni sera au kula, tunataka kusikia sera na si vipasho vya kwenye vijora huko mitaanini mzee. Wewe unaonekana ni kiongozi dhaifu kuliko hata huyo uliyetaka kumpeleka kibra, na sasa yupo hai kabisa, Lissu alienda ulaya kupata matibabu na sio km unavyotoa sababu zako za kimbea, ingependeza tukisikia ukiomba msamaha kwa watanzania kwa kushindwa kuweka wazi mpaka sasa ni nani aliyehusika ktk tukio la kutaka kumuua Lissu, napia ulitakiwa kuomba radhi kwa kushindwa kuufanya mji wa dodoma kuwa salama kuliko mahali popote pale, maana tukio lilitokea dodoma, ambapo ni makao makuu ya nchi.
Nyie mbwiga mnadanganywa kila Siku; Jiwe aliahidi NOAH kila mmoja wenu kutoka kwenye makinikia, mbona mko kimya hamumuulizi NOAH zenu ziko wapi na anakuja kuomba tena kula?
FIESTA. Marioo atakuepo ?!Kwa aliyeko uwanjani njoo hapa jukwaa la wasanii tufahamiane
Badala ya kupewa noah ambazo zingesababisha vifo vingi, Rais Magufuli aliamua atupatie elimu bure, watoto wetu sasa wanaelimika
FIESTA. Marioo atakuepo ?!Kwa aliyeko uwanjani njoo hapa jukwaa la wasanii tufahamiane
Ndugu yangu chakaza acha kuishi kwenye kivuli cha uwongo unazitesa seli zako
Kiufupi hakuna mwaka rahisi km huu mchana Nimekuwa turiani Yaani watu hata hawataki kusikia habari za yule msaliti wa Nchi aliyepewa dola na Mabeberu aiuze Nchi
Uwaziri wa malaika [emoji23][emoji23][emoji23]Namuhurumia sana huyu mama (Cheupe kama amwitavyo magu) kwa kuwa makamu wa kipindi kimoja kisha kufurushwa kwenye makazi (mfano wa talaka) kwa makosa ambayo sio yake bali ya huyo bosi wake ambaye kwa sasa no kipindi kizuri cha kujisafisha lakini anamwaga upoloto mtupu.
Watu watakapokuwa wamechoka na nyimbo zilezile za Diamond, Kiba, Zuchu nk hakika atajibeba maana atakuta mikutano yake inahudhuriwa na viongozi wa ccm na vuvuzela watupuView attachment 1556560
Akiuza nchi ni sawa tu,kwani nyie mbona mlishaiuza nchi hii kwa mikataba yenu mibovu mliyoingia sehemu mbalimbali toka tulipopata Uhuru?
Fiesta linaendelea siyo!! Swaafi saana acheni vijana waserebuke ni muda wao huu.
Nilipita hapo mida ya saa nane.Kwa aliyeko uwanjani njoo hapa jukwaa la wasanii tufahamiane
Hizi ndio picha za uwanja kujaa hadi kutapika??Jamuhuri imetapika kampeni ya kisayansi
View attachment 1556496View attachment 1556498View attachment 1556499View attachment 1556501
Mkoa wenye wabunge maarufu Tanzania
Hapa jamhuri kampeni zinapigwa huku watu wakila bata uwanjani
Hii nchi bado kunawajinga wengi,hiki kizazi cha ccm nibalaa tupu
FIESTA. Marioo atakuepo ?!
Vipi mandege na Madaraja mbona hayawabebi tena wananchi wameona ya kawaida tu kwani hata mkolonii alijenga
Kabisa hili ni suala la msingi sana na wakati wa kupata jibu lake ndio huu vinginevyo magu atawajibika milele.JPM hiyo ni sera au kula, tunataka kusikia sera na si vipasho vya kwenye vijora huko mitaanini mzee. Wewe unaonekana ni kiongozi dhaifu kuliko hata huyo uliyetaka kumpeleka kibra, na sasa yupo hai kabisa, Lissu alienda ulaya kupata matibabu na sio km unavyotoa sababu zako za kimbea, ingependeza tukisikia ukiomba msamaha kwa watanzania kwa kushindwa kuweka wazi mpaka sasa ni nani aliyehusika ktk tukio la kutaka kumuua Lissu, napia ulitakiwa kuomba radhi kwa kushindwa kuufanya mji wa dodoma kuwa salama kuliko mahali popote pale, maana tukio lilitokea dodoma, ambapo ni makao makuu ya nchi.