Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Usichojua toka Rais Magufuli ameingia madarakani shule za serkali ndio zinaongoza kitaifa, endelea kuliwa pesa yako private
Ingependeza kama watoto wangepewa elimu iliyo bora kuliko hii ya wakina Kayumba wanaokalia matofali!!! Mradi elimu?