Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Poleni
Hapa ni Magu
 

Attachments

  • FB_IMG_1599392332804.jpg
    FB_IMG_1599392332804.jpg
    82.2 KB · Views: 1
Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha linachoongelewa huko TBC. Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania. Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Julisha km TBC haikatiki sauti
 
Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha linachoongelewa huko TBC. Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania. Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Degrees of insanity in the making
 
Mikutano mingi ya CCM imejaa watoto. Hivi hawa watoto CCM huwa mnawatoa wapi? Angalia walivyo jazana hapo kwenye kampeni za CCM.

Ni muda wa kutunga sheria ya kuwazuia watoto wasishiriki kwenye mikutano ya kisiasa hasa katika kipindi hiki cha kampeni.

Ipo siku mgombea atakuja kujikuta anahutubia watoto.
View attachment 1560297
Hahahahhahaaaaaaa
 
Magufuli kila anapopita,kama vile Hitra alipopita Poland majeshi yalijisalimisha, kwa nini aendelee kujichosha wakati yale aliyoyafanya yananena.!!!
Kama ni lazima kupita kwa wananchi zungumza maneno machache ; AHSANTE KWA MIAKA MITANO MINGINE NITAENDELEA KUFANYA NA KUFANYA ZAIDI.
HITRA...[emoji1752][emoji1787][emoji1536][emoji1536]pamoja sana mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jana Temeke walizoa watu kuelekea Mwembeyanga kwa ujira wa 5-20. Dau lilitofautiana kulingana na hadhi yako. Kuna mpumbavu alitaka anipe 15 niende kwenye mkutano wa Samia Suluhu nikamwonyesha misimbazi mingi akabaki anaduwaa tu
 
Magufuli kila anapopita,kama vile Hitra alipopita Poland majeshi yalijisalimisha, kwa nini aendelee kujichosha wakati yale aliyoyafanya yananena.!!!
Kama ni lazima kupita kwa wananchi zungumza maneno machache ; AHSANTE KWA MIAKA MITANO MINGINE NITAENDELEA KUFANYA NA KUFANYA ZAIDI.

Huu ni mwanzo tu wa kampeni kwa vyama pinzani, lakini ona wanavyo kipelekesha ccm na wagombea wake amao walfanya kampeni kwa miaka yote mitano wakati wengine wakinyamazishwa.
Najaribu kufikiria kama wote wangeruhusiwa kufanya kmpeni kwa miaka yote mitano, basi ccm wasingekuwa na la kusema.

KAMA MIAKA MITANO YA KAMPENI HAWAKUWAZA KUWASHAWISHI WATU, JE KWA HII MIEZI MIWILI WATAFANIKIWA KWELI?
 
Back
Top Bottom