Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kwanza wewe si mwanaCCM.

Pili lazima ukubali hakuna sera mbaya.. ikiweko hapa ilete niione.. tunachotofautiana ni uwezo was kuushawishi umma utuchague.. na Kama chama Cha Mapinduzi kinao msingi na mfumo Bora wenye ushawishi.

Tatu hakuna aliyetumia lugha ya asili mwanzo mpaka mwisho kufanya kampeni.. na maneno Kama Wasukuma wanasema..."insert Maneno hapa" hazijaanza kutumika leo kwenye siasa.

Tatizo ni kujiona hii Tanzania ni ya wasomi na Kiswahili kinaeleweka pote.. you are very mistaken"Mjuba" huifahamu Tanzania. Tembea Kisha urudi hapa useme Tena haya unayoyaandika.

Na hizi asili ndizo building blocks za Taifa Hili.. huwezi kupenda mchuzi (Uswahili) halafu ukachukia kitunguu na nyanya(makabila ya kibantu) utakuwa hayawani.

Siasa Duniani kote zinaendeshwa namna moja.. iwe Marekani iwe Uingereza iwe Urusi Japan kote... Ni jukumu la mwanasiasa kuconnect on individual level na wapiga kura..

Huko walikoendelea wasingesafiri na kufanya mikutano ya hadhara.. wangekaa kwenye tv wakazisoma sera na kuzidadavua kwa undani kabisa if that wa simple as you put it.

Running a country is one thing and getting elected is another.. Waacheni wenye ujuzi na hayo wafanye kazi yao.

Btw..sheria inaruhusu lugha hizi kitumika pale inapohitajika na mkalimani awepo.. Sasa Dr. JPM anahitaji mkalimani gani wakati yeye mwenyewe anaijua lugha ya kisukuma na Kiswahili!?

Bado ninangoja Kampeni iliyoendeshwa mwanzo mpaka mwisho kwa lugha ya kisukuma ..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unajua sera za vyama vya upinzani kuhusu muungano na muundo wake ? Huu ni mfano wa namna CCM tuna SERA ambazo hatuwezi kuzilingalisha na wengine, inashangaza kuwa unataka ulinganishe sera za CCM na vyama vingine.
Pili, msingi wa hoja yangu ni kauli zako ulizozitoa kuwa mgombea wetu hana ushawishi wa kisera na anatumia kilugha kama njia ya kushawishi , na sisitiza tumekuwa tukishinda chaguzi sababu tuna ushawishi wa kisera kwa wapiga kura wetu nchi nzima bila kujali tofauti zao, na hata huyu JPM u ayedai hana ushawishi na hawezi kuuza sera zetu, hakuchaguliwa kwa sababu nyingine , ni kwakua aliweza kuuza sera zetu kwa ushawishi alionao kwa wapiga kura, si kwasababu ya kabila lake. Tatu si kweli kuwa kiswahili ni lugha ya wasomi, kiswahili ni lugha ya watanzania wote, na inazungumzwa nchini kote bila kujali kiwango cha elimu cha mzungumzaji.
Mwisho, narudia kusisitiza kuwa JPM hajahutubia kwa kilugha, alisalimia kwa kilugha, hajatoa AHADI MAALUM YA SIRI kwa wazungumzaji wa kisukuma,AMESALIMIA kwa kilugha. Kama unaushahidi wa JPM kuhutubia kwa kiligha wewe ndiyo uuweke, vinginevyo ni jitihada zenu za kukichafua chama huku mkijifanya wanachama
Ziada: Nilitegemea utasema mimi si mwana CCM kwakua ndiyo imekuwa kauli yenu mapandikizi, mnapo kizushia maneno chama (soma viongozi) tukiwasahihisha hilo ndilo jibu lenu. Lakini ukweli ni kuwa HAKUNA hotuba ya kilugha kama ipo, iweke. Na sera zetu ni bora kwa ustawi wa watu na taifa, kama hutaki, wafuate unaoona wana sera kutuzidi.
 
Hili lijamaa,linaona kete iliyobaki ili liludi Ikulu ni ukabila kwenda mbele,kila sehemu linaandamana na boss wa TRL,Kadogosa,ambaye ni Msukuma,ili kumtumia Kama chambo ya kupata kura.
Nyerere aliyaona zamani,kitu likikosa sera,lazima litajipambanua kwa ukabila au dini.
Kikwete alijipambanua kwa udini alipoona mambo mazuri,huyu karata yake ya mwisho ni ukabila tu.
Hili jitu hili,lina "PHD"lakini haliwezi kuongea kiswahili vzr,lugha ya malikia,ndio kabisa,linazidiwa hata na mtoto wa Darasa la nne,wa English medium.
Ofcourse hana kete nyingine. Flolyover na Stigler zimegonga mwamba.
 
Kwa

kwani sheria za uchaguzi zinasemaje? tusinajsi akili zetu. ebu leteni sheria ya uchaguzi kuhusu lugha
Kwani kila kitu lazima kiwe na Sheria?

Mwishoe tutapeana Sheria ya kuongea na wake zetu.

Kikubwa hapo ni Mawasiliano.
 
Huyo Askofu tapeli gwajima mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchahua mcheza porn huyu.....

Piga chini hii ng'ombe mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi cha kigaidi na waumini wake ambao wapo km mang'ombe
 
Sio kila mkazi wa mwanza ni msukuma!Kuweni na uelewa,mnatia kinyaa kwa hii tabia yenu ya kutstea kila jambo!
Kuna haja gani ya kuwa live wakati unahutubia kisukuma!
Usitofokee bana, mbona kaka yako alivyokuwa kwao singida alionge kinyiramba hakuna mtu aliyelialia kama nyie.
 
Wivu tu. TZ ongea lugha yoyote. Utanaka tuwe tunaongea viingeleza Kama Ubelgiji?

Kusukuma ni Kanda ya Ziwa..

Mkikosa kabsa Sera mnataka Hadi watu waache kuwasiliana kwa ukaribu?

Mtu anaongea na watu wa Mwanza unataka hadi wewe uelewe?
Maskini mataga huyu
 
Hujielewi ,,, hujui sheria inasemaje kuhusu tumia lugha zisizo rasmi
Magufuli ba lissu ni nani anayejua sheria zaidi? Jibu ni lissu lakini kwao singida lissu aliongea kilugha hakuna aliyekuja hapa kulalamika si wa chadema si wa CCM .kunya anye kuku akinya bata kaharisha.
 
Magufuli ba lissu ni nani anayejua sheria zaidi? Jibu ni lissu lakini kwao singida lissu aliongea kilugha hakuna aliyekuja hapa kulalamika si wa chadema si wa CCM .kunya anye kuku akinya bata kaharisha.
mtu hajui sheria mnampeleka wapi sasa
 
Unajua sera za vyama vya upinzani kuhusu muungano na muundo wake ? Huu ni mfano wa namna CCM tuna SERA ambazo hatuwezi kuzilingalisha na wengine, inashangaza kuwa unataka ulinganishe sera za CCM na vyama vingine.
Pili, msingi wa hoja yangu ni kauli zako ulizozitoa kuwa mgombea wetu hana ushawishi wa kisera na anatumia kilugha kama njia ya kushawishi , na sisitiza tumekuwa tukishinda chaguzi sababu tuna ushawishi wa kisera kwa wapiga kura wetu nchi nzima bila kujali tofauti zao, na hata huyu JPM u ayedai hana ushawishi na hawezi kuuza sera zetu, hakuchaguliwa kwa sababu nyingine , ni kwakua aliweza kuuza sera zetu kwa ushawishi alionao kwa wapiga kura, si kwasababu ya kabila lake. Tatu si kweli kuwa kiswahili ni lugha ya wasomi, kiswahili ni lugha ya watanzania wote, na inazungumzwa nchini kote bila kujali kiwango cha elimu cha mzungumzaji.
Mwisho, narudia kusisitiza kuwa JPM hajahutubia kwa kilugha, alisalimia kwa kilugha, hajatoa AHADI MAALUM YA SIRI kwa wazungumzaji wa kisukuma,AMESALIMIA kwa kilugha. Kama unaushahidi wa JPM kuhutubia kwa kiligha wewe ndiyo uuweke, vinginevyo ni jitihada zenu za kukichafua chama huku mkijifanya wanachama
Ziada: Nilitegemea utasema mimi si mwana CCM kwakua ndiyo imekuwa kauli yenu mapandikizi, mnapo kizushia maneno chama (soma viongozi) tukiwasahihisha hilo ndilo jibu lenu. Lakini ukweli ni kuwa HAKUNA hotuba ya kilugha kama ipo, iweke. Na sera zetu ni bora kwa ustawi wa watu na taifa, kama hutaki, wafuate unaoona wana sera kutuzidi.

Kuna Sera na Ilani.. Sera za chama Cha Mapinduzi Ni sera zinaendelea kuinfluence utendaji wa Serikali mpaka kufikia leo kwenye uchumi wa Kati. Sera huandaliwa na wataalamu wabobezi wa maswala ya kisera na ninachokwambia ni kuwa sera zote huwa ni njema uzisome Ukipata wakati. Kinachotofautisha CCM na wengine Sisi CCM sera zetu zinatekelezeka na tunao mfumo thabiti wa kuzitekeleza tangu Uhuru.

Manifesto au Ilani ni tangazo la hizi sera nzuri tulizo nazo. It's a marketing documi ya sera zetu.. na wakati wa kipindi Cha Kampeni tunachofanya ni kuzinadi.. kuonesha zetu ni Bora kuliko za wengine that's it.. hence ushawishi. Na hapa ndipo tunaendelea kufanya vyema zaidi maana tunazungumza na Watanzania wote hata wasiojua Kiswahili lengo ni wote waisikia na wazielewe ahadi na sera zetu.

Hoja yangu kwa mtoa Mada ilikuwa Kama watu was mwanza walioko mkutanoni hawajalalamika kwann yeye aliyeko mile 500 mbali Ndiye alalamike!? Na nikaonya huu sio ufikishaji ujumbe ni propaganda tu. Sasa bwana Abou ni kipi wewe unashindwa kuelewa ?

"Mwisho, narudia kusisitiza kuwa JPM hajahutubia kwa kilugha, alisalimia kwa kilugha, hajatoa AHADI MAALUM YA SIRI kwa wazungumzaji wa kisukuma,AMESALIMIA kwa kilugha."

Hapa nashindwa kukuelewa.. wewe unachokataa ni Nini.. maana Mimi mwenyewe nimeomba mleta mada anipe video inayomuonesha Mh. Dkt. JPM akizungumza kisukuma mwanzo mpaka mwisho..maana siamini Kama ipo.. wewe unataka nini!? Au husomi hizi reply kwa utulivu!?

Mwisho Uamuzi wa kuniita pandikizi au kuamini vyovyote ni wako... CCM inaendesha serikali huru na tunapromote Uhuru wa fikra pia.. despite the picture painted by many in this platform.. Ninaomba Nitumia fursa hii Kumuombea Mwenyekiti wangu wa chama na Mgombea Wa Urais Kwa Tiketi ya CHAMA CHA MAPINDUZI Dkt. John Magufuli kura ya Ndiyo ([emoji3581]) kutoka kwako bwana abou

Narudia Tena: Kiswahili Kuna mahali hakijulikani (Nakushauri tembea)

Na Sheria Inaruhusu kuzungumza Kilugha ilimradi awepo mkalimani na kama inahitajika.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sema una kaushabiki... NaJF imeanza kuwa tainted..sio kisima cha fikra huru Tena. Ukienda kwa warumi ongea kirumi..

Vijana hampigi kura kutwa kwenye mitandao kupiga soga.. mwanasiasa yeyote Mwenye akili anajua umuhimu wa watu wa vijijini ambao wengi wao Kiswahili hawakijui Kama unavyotaka Kujiaminisha.

Na kiongozi Kama utashindwa kuongea yale yanayogusa moyo wao kura hupati.. labda kitu usichokijua Duniani kote sera haikupeleki ikulu.. Ni ushawishi..

Sasa wewe nenda bukoba/umasaini au Ihemi na Tungamalenga huko uwashawishi na maneno yako ya mchakato uone Kama utapata kura..

Na kinachosikitisha ..na haka kanakuwa katrend humu-jf watu aidha kuongezea chunvi Sana matukio ya kampeni au kuyabadilisha badilisha kusuit their narrative,. Ni aibu kwa msomi kupindisha data aonekane yuko Sahihi... Na hii iwafikie wote vyama vyote na moderators mnaua brand ya JF.

Btw. Kwanza kwa hilo la kisukuma unayo picha ya video au rekodi ya sauti ya kampeni iliyoendeshwa kwa Kisukuma mwanzo mpaka mwisho!? Na Kama ipo haina version ambayo aliielezea kwa Kiswahili!?

Pili wewe upo Mwanza!? Katika eneo analoahidi na kumwaga sera allegedly fully kwa kisukuma!? Kama hapana una ndugu, jamaa au rafiki maeneo hayo ambaye amesema hakuelewa!? Kama huna jamaa na wala huna ndugu huko..

Kwann unataka sana kujua wao wameahidiwa Nini!? Wivu!? Tamaa!? Au!? Kwann wewe mtu wa temeke uwe very interested kujua Mlele wameahidiwa Nini!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Una upeo mdogo kuliko mwanao(ama unaye ). Kama unabisha sema nikwambie sababu.
 
Magufuli ba lissu ni nani anayejua sheria zaidi? Jibu ni lissu lakini kwao singida lissu aliongea kilugha hakuna aliyekuja hapa kulalamika si wa chadema si wa CCM .kunya anye kuku akinya bata kaharisha.

Kwa hiyo hata ndiyo huyu?

Ama kweli ni bata hujakosea mkuu. Kwa silika bata ni mchafu kweli kweli.

Huyu bwana ana mdomo mchafu haswa.
 
Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.

Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.

Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Watu wa kanda ya ziwa mwenyewe wanaelewa mkuu hawezi kufika uchagan akaongea kichaga
 
Back
Top Bottom