Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
NEC na policcm si wapo watampa tuu 100%Tukiachilia mbali kile KIWANDA CHA MATUSI. NA KIKI ZA MIUJIZA, nani mpinzani wa Jemadariii ,MAGUFULI??
hata hizi kampeni anazofanya Magufuli nikutimiza wajibu tuuuu. Hata akiamua kujitulia ikulu ushindi wa asilimia mia, ukopale pale.