Watawatoa mashehe ili kupooza joto.
Ile ni dhuluma na uonevu kumuweka ndani mwanadamu mwenzio 8yrs bila kumshtaki ili kumuharibia au kuwatisha wengine,wakati ukuta matumizi ya nguvu yalifaa miaka ya 70 na sio kizazi hiki.
Check kwa mfano tuliwaambia acheni kamakamata ya wapinzani kila siku Mbowe kakamatwa Mara sijui Nani kakamatwa.Mnawajengea usugu wa kuzoea kukamatwa na wakishakuwa sugu wa kukamatwa awatoogopa Tena kukamatwa.Nguvu katu haiwezi uwa upinzani.Njia pekee ya kuuwa upinzani ilikuwa ni kushusha madaraka kwa wananchi sikiliza vilio vya wananchi wanataka nini je kipaumbele Chao ni ndege,ikulu mpya, kuijenga chato, kukamilisha ndoto za Nyerere za wakati ule usio tija kwa kizazi cha sasa.
Kuongoza kizazi cha sasa kwa falsafa za miaka ya 60 ni lzm zilete crash.Eti unamuenzi Nyerere kwa Kodi za kizazi cha sasa ambacho kimezaliwa Nyerere alishakufa hata akimjui umsoma kwenye history ujawatendea haki.Kizazi Cha Sasa kinataka bongofleva singeli we unakiletea funky na break dance za miaka ya 70 haviendani.