Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kusema kampeni za CCM ni ngumu ni vichekesho. Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 90%

Rafiki zetu wa CHADEMA mtaula wa chuya huu mwaka hampati hata mbunge.
Bila kujifariji kwa maneno kama hayo watakuwa na hali ngumu ya mioyo yao..wamefura wivu, hasira na chuki..kwa sasa tuwaonee huruma..tuwaunge mkono wanapojifariji.

Juzi wamesingizia serikali imezuia chopa kuruka..mara magufuli atajiongezea muda..hawataki maendeleo ya vitu halafu hapo hapo wanaahidi kuwajengea machinga masoko.
 
Au inawezekana afya haimruhusu kuendelea na mikikimikiki ya kampeni. Tungoje CCM watujuze zaidi

Lakini kikubwa zaidi, wana CCM wengi hawana shauku ya kumpigania Magufuli kwenye kampeni za mwaka huu isipokuwa kwa unafiki na hofu tu ya kushughulikiwa.
Sasa kama ni afya mbona juzi alikuwa anapiga push up kuonesha kuwa yuko fit
 
Kampeni ni quality sio quantity angalia Lisu vimiikuttani vyake aluvyofanya idadi ya watu ndogo.,vijukwaa anavyisimamia very poor,picha za mikutano mnaweka ta my edit ya 2015!! CCM ?mumecheki?
Halafu tuko ndani ya muda sawasawa na ratiba ya tume Sasa hivi ni assessment na kupokea report kabla kuinuka tena sawasawa na ratiba ya tume

Member kakimbia ratiba ya tume katelekeza

Lisu pia karuka majimbo mengine hadi sasa

CCM tuko ndani ya muda na ndani ya ratiba ya tume.Hatujaruka Jimbo hata moja

Wale watoto wa shule na askari na wafanyakazi mnaowapeleka ni wa kazi gani?
 
Hana mvuto mwaka huu
Halafu Chakubanga jana kaja na utafiti wake eti atashinda 85% [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda za kupika Ikulu kama kawaida yao
 
Weka na Sheria ya uchaguzi ambayo inampa hicho cheo Cha urais....

Ilipaswa ht hao mawaziri waache kufanya kazi na kuwaachia makatibu wa wizara... Lkn kwa kuwa madaraka Ni ya kulevya wanajiona bado Viongozi.... Rais na mawaziri hawatakiwi kuwepo ofisini kipindi Hiki Cha uchaguzi..

Unachosha Sana wewe, nyie ndio wale mwalimu akifudisha somo Leo unakuja KUELEWA somo Kesho jioni yake, mjinga wewe,

Katiba inasemaje Kwa mfano
 
Dah yaani principle yoote hiyo umeona uipeleke kwenye pilau tu?

By the way kwani tulikuwa tunaongelea mapishi? Kwenye jambo lolote lile time ni factor muhimu sana, kisha cost na quality.

Jambo linaloweza kufanywa kwa uharaka, kwa gharama nafuu na kisha likawa na ubora hilo linakidhi viwango vyote vya ubora.
Sio kwa kila mtu .kuna watu wenye pesa zao cha kwanza anachojali ni quality bila kujali cost sababu pesa ipo.Anayejali cost sana ni lofa ndio maana tajiri yuko tayari kwenda kula chips mayai hoteli kubwa kwa gharama ya elfu 30 chips mayai mawili kuliko kula mtaani kwa mchoma chips mayai kwa shilingi elfu tatu mia tano

Go revise your notes. Jitahidi kuelewa unachosoma usipende kukariri tu unachosoma ili upate cheti
 
Kusema kampeni za CCM ni ngumu ni vichekesho. Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 90%

Rafiki zetu wa CHADEMA mtaula wa chuya huu mwaka hampati hata mbunge.
Mkuu

Kawe Alumni nilibashiri kuwa [emoji723] yako hii itarudi wakati wa kampeni.. Natumai umelipwa malimbikizo yako
 
Yaan hii nayo hoja? Rudi kajifue
Kwa wasioelewa kama wewe unahitaji kuji kujifua ili uwamishe watu kwamba wanaokusaidia hata CHANJO ZA WATOTO na zaidi ya 50% ya bajeti yako ya afya ( CCHP) kupitia basket fund ati ni MABEBERU?
 
Katika hali inayoashiri mikikimiki ya Campaign, Mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi amepumzika kufanya kampeni.

Wachambuzi wa mambo wanatafsiri kuwa kampeni za Mwaka huu zimekuwa siyo nyepesi kama zilivyodhaniwa.

Magufuli ambaye mwaka 2015 alizunguuka kwa barabara nchi nzima, inaonekana dhahiri kuwa safari hii hawezi kuifikia rekodi ya mwaka huo. Safari hii inaonekana ameweka nguvu zaidi katika mikoa ya ukanda wa ziwa huku Wapiga kampeni wengine wakienda kanda nyingine.

Hata hivyo wapiga kampeni wake yaani Mama Samia na Kassim Majaliwa hawana mvuto mkubwa wa kisiasa wa kuweza kuchangia kura za maana kwa Magufuli.

Wakati huohuo mgombea wa Chadema Tundu Lissu ambaye ana faida ya kujinadi mapema makhsusi kwa ajili ya uchaguzi huu kwa kisingizio cha "kutafuta wadhamini" ameendelea kuchanja mbuga kwenye ngazi ya jimbo kwa jimbo baada ya kumaliza kupiga show kwenye ngazi ya kanda kwa kanda.

Sambamba na ngazi ya Jimbo kwa jimbo, Chadema watafanya mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba ili kuhakikisha wanamng'oa Magufuli madarakani.

Bado haijajulikana kama kupumzika huku kwa mgombea wa CCM ni routine ya kawaida tu au uchovu au afya, tunangoja chama cha mapinduzi kitujuze zaidi.

View attachment 1567050
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza ,kapimwe hospital uwezo wa ubongo wako kufanya kazi ,"swine"
 
Lissu noma na hawezi kupata usingizi CCM walijua kazi rahisi
 
Mwingine anaweza kusema mwaka 2015 alitumia nguvu kubwa na akapita maeneo mengi kwa sababu kazi ilikuwa ngumu hata matokeo ya Uraia yalisadifu hilo.
Mwaka huu kazi ni nyepesi mno, kila mtu anaona kinachotokea, mwitikio wa Raia kwake na kwa wapinzani wake. ACT wameshanyosha mikono, CDM ndiyo Kama hivo, Juzi uliona Raia wa pwani Kama vile hawamjui, Jana Morogoro mjini umeona hali mwenyewe, kule Mheza ilikuwa aibu. Hata Makamanda tangu Mlivyoposti picha za Mbeya, hamjaposti tena, utafikiri Mgombea wenu yupo likizo naye.
Sasa kwa namna hiyo kwanini asipumzike Budha. Game imekuwa nyepesi mno.
Kama umegundua, wanachokifanya CCM baada ya uhakika wa Kushinda, ni kuhakikisha mtu anapata kipigo cha mbwa koko, hicho ndicho kinachofanyika kwa Sasa.
Nine like nimeona haitoshi, naongezea huku kwamba, Wewe ndo mkweli na unaupenda ukweli, ulichoandika ni ukweli tupu, Magu na apumzike hata wiki tatu, kwani Hana wasi hata kiduchu

Ni Rais tena, asiyetaka ajinyonge au ahame nji
 
Kusema kampeni za CCM ni ngumu ni vichekesho. Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 90%

Rafiki zetu wa CHADEMA mtaula wa chuya huu mwaka hampati hata mbunge.
Mshaurini apumzike home. Asipige kampeni.
 
Magu aitaji kabisa kufanya kampeni. Aludi tu ikuru akare bata

Shabiki wa CCM hata kuandika kiswahili fasaha ni shida 😂😂😂 Yaani hata kubishana na wewe ni matumizi mabovu ya muda, nakushauri ni bora ukawa ni msomaji tu na sio kuchangia kwa kuandika sentensi kama mwanafunzi wa Memkwa
 
Back
Top Bottom