Leo wanambeya wameamua kupiga deki barabara ili kuondoa nuksi za Lissu. Angalia mwenyewe.Magufuli keshamaliza kazi anaenda kumalizia kusafisha na kuondoa uchafu kidogo uliobaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo wanambeya wameamua kupiga deki barabara ili kuondoa nuksi za Lissu. Angalia mwenyewe.Magufuli keshamaliza kazi anaenda kumalizia kusafisha na kuondoa uchafu kidogo uliobaki.
Kesho Mbeya itajaa kijani..na watoto ..je wamegaiwa saa ngapi hizo uniform?Dk MAGUFULI kesho anatua MBEYA Chadema matumbo moto
majidai yenu yanaenda kuzimwa kesho mbeya
HUYO hapo alikuwa Igurusi leo hakukuwa na zomea zomea wala niniKuanzia Igawa Hadi Igurusi naamini Magufuli atazomewa Sana.
Home boy hapo sae na mama John msiniangushe!
Kesho Mbeya itajaa kijani..na watoto ..je wamegaiwa saa ngapi hizo uniform?
Dk MAGUFULI kesho anatua MBEYA Chadema matumbo moto
majidai yenu yanaenda kuzimwa kesho mbeya
Kwahiyo mkutano mmoja ndio unaamua mshindi wa Mbeya mjini ilihali wamemuona miaka 5?Nimeona mapokezi yake, inatubidi chadema tufanye namna ili kuokoa jahazi mbeya.
Kama CHADEMA hawakupata matumbo moto akiwa Iringa na Mwanza basi jua kuwa uchaguzi umeshaisha. Huku kwenye msafara hali ni mbaya comred!Dk MAGUFULI kesho anatua MBEYA Chadema matumbo moto
majidai yenu yanaenda kuzimwa kesho mbeya
Kama Njombe tu amepiga magoti, Mbeya kwenyewe ataruka kichura!Dk MAGUFULI kesho anatua MBEYA Chadema matumbo moto
majidai yenu yanaenda kuzimwa kesho mbeya
Ila BAVICHA MNAAKILI ZA HOVYO SANA kwa hiyo akizomewa Lissu anashindaKuanzia Igawa Hadi Igurusi naamini Magufuli atazomewa Sana.
Home boy hapo sae na mama John msiniangushe!
Oyaaaa Wana wa doksi kabwe na nzovwe fanyeni huyo mzee aondoke na simanzi hapo Mbeya.
Homeboy hawamkubali na hawampendi huyo kichwa nyundo!Ila BAVICHA MNAAKILI ZA HOVYO SANA kwa hiyo akizomewa Lissu anashinda
Hahahahaha JPM baada ya mwaka 2025 tunamuongezea mihula miwili mbele.One Term President
Uhuni sasa.......basi
Uhuni sasa........basi
Wizi wa kura sasa....... basi
Tukutane 28/10 wakati ambapo tutakesha tukilinda kula nchi nzima mpaka mtu atangazwe hata kwa wiki nzima.
Leo tulimsubiri sana HAI, akakimbia kwa kuwa hakuna aliyekuwa tayari kumsikiliza.Kudadeki mboga majani mnazid kupoteana mchezoni, bado kesho nyomi la mjini Moshi lazima mtapike nyongo
JPM amechukua fedha za mafisadi na kujengea zahanatiJohn hajauwa watu? Hajateka watu? Hajapiga watu risasi? Hajawapachika kesi za uwongo wafanyabiashara? Hajawanyang'anya fedha matajiri?
Hivi huyo anatokea nchi gani mana hatuna kabila hilo hapa Tanzania!! Eti Lisu atauza nchi !! !!Ahmed shabib analinda biashara zake lazima amuombee magufuli kura.