Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji38] analipwa huyo kada mtiifuWe umebinuliwa hapo Lumumba miaka yote bado tu haukomi?
Bosi wako umemuelewa lakiniView attachment 1605333
Unajidanganya walahi. Hii kanda sio kanda ya ziwa. Huku ni ulimwengu wa kwanza. Chezea kaskazini wewe?Yuko HIMO sasa hivi hali ni mbaya kwa makamanda.
Mmeshanza kutamani Beberu la mbuzi alilopewa na Mrema,mnatamani mlichinje mle huku mnakunywa Konyagi.Uzuri anapoteza muda katika Mkoa unaojielewa Kilimanjaro hawadanganyiki
Acha uongo,mkutano upo uwanja wa ushirika, Himo amesimama kwa muda tu.Jamaa yangu moshi mjini anasema wanaletewa Coaster ziwapeleke huko himo.