Tarehe 13/10/2024 saa 19:30 jioni kiongozi mwingine wa CHADEMA jimbo la Vwawa Hussein Mwashambwa ametekwa nyara na watu waliojitambulisha ni askari polisi Ruanda Mbozi. Ndugu wamemtafuta vituo vyote vya polisi hayupo. Mnatulazimisha tuingie kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe?
 
Taarifa za namna hii za Watu kutekwa na kisha kupotezwa huwa zinanikera Sana kuzisikia. Zinakera hasa.
 
Na mlipotezea? situation kama hiyo ilitokea kwa jirani yangu, ila jamaa yao alipatikana katupwa msituni, wafugaji walimuokota, inaonekana wale jamaa baada ya kuona msako umepamba moto (walitangaza kwenye radio za mkoa)wakaamua kumtelekeza tu
 
Kwa siku za hivi karibuni kumeibuka Wimbish la utekaji unaofanywa na watu wanaodhaniwa kuwa ni wa vyombo vya ulinzi na usalama.alianza setiva akapatikana bahati nzuri makosa waliyofanya vyombo vya ulinzi na usalama hayatajirudia tena.sasa hv ukitekwa tu jua ndio bai bai mama jeni hutoonekana tena.maana ukiknekana tu utatoa siri zao ambazo wahusuka washa kataa kuhusika nazo tokea mwanzo mwa huu utekaji.mwenyezi mungu mnusuru Nondo kwenye mikono ya wadharimu
 
Kwa hiyo unataka nkituambiqje kuhusu Nondo?
 
 
Kwa mzigo ulivyoplaniwa haikuwa siku yake huyu jamaa alikuwa anaenda. Tungeishia kulalamika na kumpost tu
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limefanikiwa kuwapata watoto wawili wakiume na wakike nyumbani kwa mganga wa kienyeji anayefahamima kwa jina la Abdulikarim mkazi wa Kimara Baruti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…