Madalali wengi bongo wanafanya kazi kienyeji hakuna valuations za uhakika na sahihi yaani eti kwasababu nyumba ina rangirangi,marumaru au gypsums wao wanalopoka tu bei bila kuangalia factors zingine za kupanga bei pia inachangiwa na tamaa za dalali na mwenye nyumba.
 
Empty Set sana wewe!! Hujui hata unaandika kitu gani...Ulikuwa unataka majambazi waiibe nyumbe waing'oe na kuondoka nayo? Soma kwanza ndio ujibu sio unakurupuka.
 
Empty Set sana wewe!! Hujui hata unaandika kitu gani...Ulikuwa unataka majambazi waiibe nyumbe waing'oe na kuondoka nayo? Soma kwanza ndio ujibu sio unakurupuka.
Sawa, tufanye wanaiba milioni 2 halafu millioni 155 wanaiacha wakati anaenda kulipa, maana watamuonea huruma kuchukua zote, hivyo alipe tu kupitia online.
 
Umaskini tu ni shida na usalama.
Unaweza chukua mjengo huo fresh tu wale wasenge wa boxer wakakuwai njiani au getini ukamalizwa uache mil 155 huku nyuma wao wanakuibia mil 2 tu viroboto hao siwapendi kishenzi.
Muombe Mungu akupe ulinzi
 
Sawa, tufanye wanaiba milioni 2 halafu millioni 155 wanaiacha wakati anaenda kulipa, maana watamuonea huruma kuchukua zote, hivyo alipe tu kupitia online.

Ndio madhara ya kusoma shule za vodafasta na kufundishwa na walimu wa tigo extreme!! Hoja yangu kwanini unafanya transaction by cash? Jibu langu sijazungumzia wizi wa bodaboda au ujambazi ,nimesema transaction kama hizo zinafanywa online.
 
Ndio madhara ya kusoma shule za vodafasta na kufundishwa na walimu wa tigo extreme!! Hoja yangu kwanini unafanya transaction by cash? Jibu langu sijazungumzia wizi wa bodaboda au ujambazi ,nimesema transaction kama hizo zinafanywa online.
Acha ubishi, alichosema ni kuibiwa pesa milioni 2 wakati anarudi kwenye nyumba yake aliyoinunua kwa million 155, hiyo milioni 2 sio kwamba anaenda kununua chochote, elewa hilo kwanza
 
Acha ubishi, alichosema ni kuibiwa pesa milioni 2 wakati anarudi kwenye nyumba yake aliyoinunua kwa million 155, hiyo milioni 2 sio kwamba anaenda kununua chochote, elewa hilo kwanza

Wakati anaenda kununua alikuwa na milioni 2 au 157?
 
Wakati anaenda kununua alikuwa na milioni 2 au 157?
Hapo keshanunua pengine hata mwaka umepita, sasa siku moja wapo wakati anarudi ndio ana hicho kiasi cha 2m probably kwenye gari, wanam-tight getini wanamuibia 2m na kumtoa uhai huku akiacha mjumba huo wa wa 155m na wao wanaiba hiyo 2m, mbona maelezo yake yalikua very clear
 

Kwa wewe jinsi ulivyoelewa ,kila mtu ana uelewa wake!! Maelezo yake hayapo kama wewe ulivyoeleza! Kwani jambazi anaweza akapora nyumba na kuondoka nayo? Kwa maelezo yako ni kwamba majambazi wamekosea kupora milioni 2 na kuacha kupora nyumba ya mil 155, Jambazi yeye ni pesa tu na mali ambayo ni movable.(Hijack)
 
Hawajakosea, ila shida ni wewe kusema malipo yafanyike online kana kwamba hiyo milioni mbili kuna malipo anataka kufanya kwa cash badala ya online., au kana kwamba hiyo nyumba ndio anaenda kuilipia halafu getini ndio akaporwa. See the logic?
 
Uzi umekuwa wa mipasho sasa.kama nyumba umeipenda fuata taratibu husika muongee bei basi.bila kuuziwa bahari ama msikiti.kila mmoja ananunua kutokana na uwezo wake aliokua nao.mwengine mwisho wa uwezo wake kununua nyumba ni M.50 na mwengine kuendelea hatufanani.Muhimu ununue kitu kwa taratibu husika hata kama inauzwa Milioni moja kuna leo na kesho na hapa ni mjini ubabaishaji ni mwingi hakikisha utumie pesa upitie mamlaka zote husika unanunua kuna leo na kesho.Na kama huna uwezo pita tu kimya yatosha siyo wote tuna uwezo sawa.
 
Mkuu haya matusi [emoji848][emoji848][emoji848] duh! Unatisha mzee
 
Nyumba nzuri- bei ya 155m inawezekana ndio kikwazo- kwa hali ya sasa- na eneo ilipo 70m -80m - ingekuwa bei nzuri na inawezekana ingeishauzwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…