Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

1.Wapo wanajeshi watiifu na wanapigana 100% lakini ndo hao wameshakufa 30,950+ up to June 2022 tangu uvamizi Feb.2022.
2. Wapo wanajeshi "mgomo baridi" wanaodai silaha zao ni duni ukilinganisha na zile za wa-Ukraine
3. Lipo Jeshi linafanana-fanana kama Guerilla fighters lakini ni moto wa kuotea mbali na lipo ndani ya nchi ya Urusi - LEGION
4.Wapo wananchi wengi hawaungi mkono hii vita kwani hawaoni sababu za msingi uwepo wa vita hiyo wala manufaa yake.
5. Wapo wafanyabiashara na Wasomi wakubwa ambao biashara na shughuli zao zimeathirika kutokana na uwepo wa hii vita - Hawaitaki kabisa vita hii.
JUMLA = Mwadui wa Putin 👆
Hitimisho: Hawa wote(1-5)+ Wapiganaji/ Majeshi ya Ukraine walio mstari wa mbele + Putin mwenyewe afya-mgogoro + Nchi za nje Wanaoiunga mkono Ukraine(kwa Hali na Mali) + Vikwazo vya ki-uchumi ni changamoto KUBWA sana kwa Putin. Cjui kama atamudu. Tusubiri muda utasema.🤯
 
Kila siku Warusi tunawaambia Ukraine sio yenu hamuelewi. Mungu ni mwema leo Mnamo Juni 5,2022, Meja Jenerali Roman Kutuzov amepelekwa kuzimu na Snipers wa Ukraine. Naweka na Maiti yake ili wale wanaonitukana watue adabu. Alishindwa Mshauri Putin Vizuri asiishambule Ukraine. Sasa kafa yeye🤣🤣🤣
 
Huyu ni Sniper wa Kimataifa wa kukodiwa. Kashapigana, Syria, Libya. Anajiita VAHA. safari hii akiipigania Urusi maeneo ya Donbas, Amtolewa roho ndani ya Mwili wake. Kabaki kiwiliwili chakula cha Minyoo. Wenzake wakiona Askari wa Ukraine wanakuja wakakimbia, Yeye akajifanya mbabe wa Vita
 
Warusi Washaingiwa na Woga, angalia wanavyo tapatapa baada ya kufanyiwa ambush. Wachimba mahandaki ila wanashindwa kuingia. Walioko ndani wanatoka nje walioko nje wanaingia ndani. Wengi wametekwa
Your browser is not able to display this video.
 
Wakuu, Tayari AVOV wameweza kujikusanya tena. Kikosi chao chaitwa 1st Battalion SSO. Wanatumia SSO au SOF(The Special Operations Forces)

Video ya kwanza walioiacha hii hapa wakiwa vitani. Wana Uchungu balaa. KAma kawaida yao hawateki hata ujisalimishe. Wao ni kuua tu. Ndo maana Urusi wanawqchukia na kuwaogopa
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…