Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Washaanza, hii vita haitaishia Ukraine tu. Kumbe Urusi Mashariki ni Ulaya. Hadi hapo kwenye Milima. Urusi waliichukua kibabe so ibabidi irudi.
 
Wale wasioamini kama Viongozi wa jeshi la Urusi Wanapukutika, naweka Picha za Viongozi wa Juu wa Kijeshi wa Urusi wanaendelea kufa Ukraine. Mtu kama huyu hadi afe, jua Frontline wake wameisha. Hawa ni watoa amri jeshini. Wengi ni colonels, lieutenant na Makapteni.
 
Vikosi vya Wanajeshi vya Ukraine vilishambulia njia za reli na maghala ya risasi mkoani Donetsk
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Jana Kherson, Urusi walitembezewa Kichapo hadi basi
Your browser is not able to display this video.
 
Kuna training kibao zaendelea fanyika. Wiki 3 zijazo zitakuwa ngumu sana kwa URUSI
Upo sahihi. Sasa hivi Urusi wanajilinda wasinyang'anywe maeneo walioyashika. So Ukraine sasa ndo yashambulia... Soon wataanza kirudi nyuma.. Wiki hii hawajasogea kabisa. Hakina kikosi kilichoadvance zaidi ya Km 10.
 
🤣🤣🤣🤣 Ila Frontline wanajiamini sana. Wanapenda kazi yao
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…