Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Russia wanatia Aibu. Hapa wanachoma moto mazao, yamewakosea nini?Wapige mabomu kambi za jeshi sio kuchoma moto mazao.
Your browser is not able to display this video.
 
Kifaru cha urusi angalia kilivyo chakazwa, hiki hakiwafikishi popote
Your browser is not able to display this video.
 
Drone inafanya kazi vizuri
Your browser is not able to display this video.
 
Sijajua sababu ya Urusi kuchoma mazao. Hata pro Urusi ukiwauliza hawajibu
 
Pale unapoiba kifaru cha Urusi🤣🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
RUSSIA Wajinga sana, wameleta Propaganda kuwa HIMARS Wamezilipua zote, CNN wakalazimika kwenda kurekodi wakati zinafanya kazi.
1. CNN Wakizionyesha HIMMARS Baada ya Russia Claims.
2.https://youtu.be/yaqXJGjCln8?t=104
Russia Propaganda.
Russia akilipua Himars atafanya sherehe, ila hadi sasa inabidi US aingie kazini kuanza tengeneza Himars maana demand itapaa.
Kwa sasa Javelin ni kama zimetulia, maana kazi yake ishaisha
 
Leo Wanajeshi wa Urusi zaidi ya 36 wamekifa kwa Wakati Mmoja kwenye ghala la Silaha pamoja na kwenye base ya Ulinzi wa Anga ya Urusi maeneo ya Nova Kakhovka, Mkoani Kherson. Wengine wengi wamejeruhiwa. Naomba Marekani iwaongezee Wapambanaji HIMARS za kutosha.
Your browser is not able to display this video.
 
Angalia Urusi walivyo tupelekea moto wakati wa mapumziko🤣🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Huko Kharkiv, SBU inamshikilia mchochezi wa mtandao anayeunga mkono Urusi

Mtu huyo kwenye kurasa zake kwenye mitandao ya kijamii aliunga mkono akiwa Ukraine. Urusi wanamtupia picha anapost. Akadai HIMARS zimelipuliwa.. Akatafutwa na kikosi Maalum kwa Usaliti wa Nchi
Your browser is not able to display this video.
 
Kazi nzuri za Silaha aina ya multiple-rocket system (MLRS) za Ukraine
Your browser is not able to display this video.
 
Ukiupitia huu uzi utasema Ukraine wanafika Moscow kesho!
 
Ukiupitia huu uzi utasema Ukraine wanafika Moscow kesho!
Ukisikia watu wajinga ndo wewe. Wapi Ukraine walisema wanaenda Moscow? Ukraine wanajilinda wavamizi na kuwafukuza warudi kwao na wamefanikio. Urusi ndo alisema ndani ya siku tatu itakuwa KYIV. SASA MIEZI 5.. Huna cha kuongea kaa kimya au nenda kwenye uzi wa mabishano. Huu uzi unatuhusu sisi tunaounga Ukraine kujilinda dhidi ya Wavamizi Urusi. Kama unaunga mkono Urusi, kaandike huko, mbona hatuwasumbui. Mnasema mumelipua HIMARS zote, umeona mtu anawabishia? Endelea kupashana habari mnazotaka kusikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…