Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Na 100% US ndo anatoa intel na coordinates za wapi pakupiga, maana hataki kwa namna yoyote ile himars idakwe au ilipuliwe
Wale jamaa wana intelligence ya hali ya Juu. Ndo maana Urusi anabaki anashangaa imekuaje. Ndo walisaidia intelligence ya Kisiwa cha Snake. Na ndio walishauri hii Vita ili iishe, Crimea inatakiwa irudi Ukraine.
 
Hivi inakuaje Taifa kubwa kama Urusi, Silaha zinatoka Marekani hadi zinafika Ukraine bila yeye kujua? Kwanini hazilipua kabla hazijafika? Jibu ni hana uwezo na vifaa vyake ni Duni
 
Javelin Sasa hivi zinapumua zile zilikuwa kwa ajili ya kuchana vifaru vinavyo advance Frontline.

HIMARS kwa Sasa ndo ziko mzigoni. USA hawezi kufail Hii task ndogo tu.
Yaani USA ni noma ana silaha za ajabu alafu kila silaha ina kazi yake kwenye battle field duuh am kweli USA ni super power wazee jamaa waNajua sana san USA ndo jeshi la dunia hutaki kataa anakuletea aina ya SILAHA kutokana na wewe unavyokuja
 
Hakuna raha kama pale Wanajeshi wa Urusi wanapoomba kutekwa. Yaani wanaweka mikono Juu kujisalimisha, bila kujua waliowalipua wapo mbali sana.

Hadi wawafikie kwa mguu ni nusu saa hadi lisaa. Umbali wa Mwenge Morocco. Hadi afike mikono unakuwa ushaishusha hivyo unalipuliwa tu
 

Nimepata somo.
 

Nimepata somo.
 
Hivi ndivyo Silaha zinasafirishwa hadi Ukraine
Your browser is not able to display this video.
 
Wale jamaa wana intelligence ya hali ya Juu. Ndo maana Urusi anabaki anashangaa imekuaje. Ndo walisaidia intelligence ya Kisiwa cha Snake. Na ndio walishauri hii Vita ili iishe, Crimea inatakiwa irudi Ukraine.
Naona US ana lengo la Urusi kuwa Zimbabwe...
Anajua kabisa lengo la Mrusi na China lilikuwa 1, ila kwa sasa China kaogopa jinsi US anavyotoa msaada Ukraine, anajua kabisa Taiwan hatadondoka kirahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…