Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hatimaye Ukraine wamefanikiwa kuteka kifaru aina ya TOS-1A thermobaric multiple rocket launcher maeneo ya Novyi Bykiv, #Chernihiv
 
Hivi Vifaru ni aina ya 1V14M-1, T-72B na MT-LBu variant. Pia kuna Vifaru vinne aina BTR-82A vyote vya Urusi. Vimetekwa na Ukraine
 
Tarehe 02 April 2022: Maeneo ya Novyi Bykiv Mkoani Chernihiv Magari ya Mizigo ya Urusi yakiwa na madumu ya mafuta na risasi, yameharibiwa vibaya sana.
 
Angalia silaha aina ya ATGM ilivyoharibu kifaru cha Urusi aina ya BMP-3
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
02 April 2022 Jeshi la Urusi limejaribu kuingia Kyiv likakutana na Mtemakuni
Your browser is not able to display this video.
 
Hawa wanajeshi wa Chechen waoga balaa.. Wanapigania ndani ya geti.. Si watoke nje? 🤣🤣🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Angalia Wanajeshi wa Urusi wanavyo tafutana Energodar 😂😂😂😂
Your browser is not able to display this video.
 
Drone za Ukriane si Mchezo. Warusi wanachunguliwa bila wao kujua. Halafu wanabutuliwa
Your browser is not able to display this video.
 
Gari la mafuta la Urusi kakyiv
Your browser is not able to display this video.
 
Sniper wa Canada WALI ambaye ni tishio kwa Urusi, leo kaachia Video yake akiwa Frontline uwanja wa Mapambano.

Bado anatumia bundiki aina ya Sako TRG-42 sniper rifle kutoka Finland na darubini inayokaa kwenye mtutu aina ya Schmidt & Bender PM II rifle scope
Your browser is not able to display this video.
 
Wanajeshi wa Ukraine wakiwa kwenye Uwanja wa ndege wa Gostomel leo baada ya kuukomboa na kuwafurumusha Warusi
Your browser is not able to display this video.
 
Rada ya thamani sana ya Urusi aina ya 9S36M na air defense System aina ya Buk-M3 vikiwa vimeharibiwa na majeshi ya Ukraine maeneo ya Mji wa Novyi Bykiv Mkoani Chernihiv

 
Hawa Warusi walipigwa Kombora, Wanzao wakaja na machela kuwabeba. Wote waliobebwa na waliobeba wakapigwa Kombora lingine wote wakakukufa. Kama ukizoom kuna waliofia kwenye Machela. Hivi vipandepande vya vifaru vya Urusi ni aina ya BTR-82A Viwili, T-72B3 Viwili, BMD-4M/2/958 kimoja
 
Haya mabomu waliyapanga kuwalipua waukraine, mwisho wa siku wamepigwa na Ukraine wakajiokotea
 
Ukraine wamejiokotea Helkopta. Au marubani walikikufa?
 
Mkulima kajiokotea Kifaru aina ya 2S34 Hosta
Your browser is not able to display this video.
 
Kuna Watanzania Wawili wapigania haki, wamedakwa Ukireina.
 
Leo tumebadilishana Mateka 86 kwa 86. Miongoni mwa mateka walioachiwa ni hawa warembo 15
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…