Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Mavazi Turkey amekataa wauzia, Ukraine wamepewa bure.
Kutokana na baridi kali ndo maana Ukraine wamefuta conscription
Mbona tuliaminishwa humu Urusi wanasubiri msimu wa baridi watangaze ushindi kama kawaida yao kwa kuzingatia historia ya vita zilizopita?

Instead kumbe wao ndio wahanga #1 kabla hata msimu haujachanganya tayari wametepea! Marusi kwa propaganda mfu hayawezekaniki.
 
Wakuu, hili daraja kulipuliwa ni aibu kwa Urusi iliyodai inalilinda hili Daraja kwa Mitambo maalum. Halafu lilipo ni mbali na Frontline ya Ukaine ilipo. Hadi wikii iishe, lote litakuwa chini. Urusi watawaambia nini wafuasi wao?
Your browser is not able to display this video.
 
Mzee wa mikwara Putin alisema ikitokea nchi yeyote ikagusa Daraja lake la Crimea basi atatandika nuclear.

Leo anasema itakuwa ni kitendo Cha kigaidi tu na sio Ukraine waliotandika sababu hawana uwezo.

Kapewa zawadi yake ya birthday ya kutimiza miaka 70 Duniani.

Asanteni.
 
Msimu wa baridi ndio tutaona ubabe wa Marekani, lazima ataleta silaha tofauti na tuzijuazo... Maana silaha nyingi kwa sasa kipindi cha baridi hazifanyi kazi sababu huoni mbele
 
Uungwana ni ku surrender. Angalau inakupa possibility ya 50% survival. Failure to comply the order, is to threaten your life by 100%.

Uungwana ni vitendo, wakikaza fuvu watageuka kuwa mizoga. Aliyewapa order ya kuja kuua wa Ukraine hakuna hata mtoto wake aliyeenda kwenye mobilized troops. To surrender is the very best option for them.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…