OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Kwani Urussi walikuwa hawajui kwamba kipindi cha winter kinakuja wajiandae? au walidanganywa na wakaamini hiyo ni OP ya 72 hrs tu. Imekula kwao.Kuna msala mwingine unalisubiri jeshi la Urusi winter inapoingia. Hawana mavazi mazuri ya kukabiliana na Winter!