Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Yale yale ya kuaminishwa kuwa Russia ina the best air defense system (eti S-400 na S-300). Baada ya HIMARS kupiga military base zao na maghala ya silaha hatusikii tena hizo propaganda.

Hata ile propaganda ya siku 3 atakuwa kamaliza vita hatusikii tena badala yake Putin anaomba mazungumzo ili wamalize vita.

Kwa taarifa tu NATO, USA na washirika wao wana silaha kali sana, sema tu hawataki kumaliza vita. Wanataka Russia akate pumzi mwenyewe kwa kupewa dozi kidogo kidogo.

Kiufupi lengo la US, NATO na washirika ni kumdhoofisha Russia kiuchumi na kijeshi.
 
Nimesema kama warusi ni nyani,hata wewe ni nyani!
Sasa ukimuita binadamu mwenzako nyani,maana yake kidole kimoja kimekugeukia!
Nways sioni logic ya haya malumbano!
Kumbe wewe ni nyani wa Kirusi, basi sawa.Malumbano ni wewe umeyaanzisha bila sababu ya msingi, we unaumia nini Mrusi kuwa kama nyani? Mara ngapi Waafrika tumeitwa nyani?
 
Kumbe wewe ni nyani wa Kirusi, basi sawa.Malumbano ni wewe umeyaanzisha bila sababu ya msingi, we unaumia nini Mrusi kuwa kama nyani? Mara ngapi Waafrika tumeitwa nyani?
Msipunguze stress zenu Kwa kuwaita Urusi nyani,maana haitatokea hivyo!
 
kitu hujaelewa hii vita ni kwamba ni vita ya rusia na nato na si rusia na ukraine, na lengo na US ni kushusha nguvu ya ushawishi wa urusi kiuchumi na kijeshi, na hilo watafanikiwa sababu hakuna vita isiyoacha hasara pande zote mbili, so ukraine na urusi wote watapata heavy loss, nato na us wao wanafyatua tu drones wakiwa kwenye base zao poland na german, wanawaangalia tu kwenye kioo
 
NASAMS & GEPAD ndizo silaha bora kwa NATO lakini zimeshindwa kuzuia umeme kukatika.
 
Huu uzi umevamiwa na watu wenye ugiligili, sonona, mning'ino wa ukomunisti, ugoto wa mawazo toka kwa watu wenye hamaki inayotaka kusababisha taharuki kwa wengine.

Hayajawa walivyotaka yawe. Wamechanganyikiwa!!!
 
Huu uzi umevamiwa na watu wenye ugiligili, sonona, mning'ino wa ukomunisti, ugoto wa mawazo toka kwa watu wenye hamaki inayotaka kusababisha taharuki kwa wengine.

Hayajawa walivyotaka yawe. Wamechanganyikiwa!!!
1. They are not informed of what is going on.
2. Very low thinking capacity.
3. Akili zao zimetawaliwa na propaganda za Russia. Eti Russia ni super power.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…