Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Naona Talan wametengeneza hela sana. Hivi viatu wanadai ni vyepesi vitani, vinapitisha hewa. Wakati vita inaendelea Wenzetu wanapiga hela.
 
Mwanajeshi wa Ukraine akiwa na wengine wawili wa Ujeruma, wameshaseti bunduki ya kulipulia Vifaru(anti-tank grenade launchers) wanasubiri kifaru kikatize. Hapa wamejificha kwenye handaki
Your browser is not able to display this video.
 
Vita yahitaji nguvu. Hiki ni kikosi cha 110th Separate Territorial Defense Brigade cha Ukraine kikifanya mashambulizi
Hapa ni Mkoani Zaporizhia
Your browser is not able to display this video.
 
Kikosi cha Border Guard Unit cha Ukraine kilichopo Mariupol.
Your browser is not able to display this video.
 
Hili shambulio limefanywa kwa kutumia Silaha aina ya BM-21 Grad. hapa ni Izyum. Vifaru vya Urusi jinsi vinateketea. Hapa walipokuwa wameficha Vifaru vyao ni kijiji cha Zabavne
Your browser is not able to display this video.
 
Ukraine kuna Vikosi vingi, ila mimi hiki cha Azov ndo bora kabisa, Wavumilivu, hawakati tamaa, hawakubali kushindwa. Hapa wakionesha umahili wao. Hawa ni Azov ila Special Operations Forces(SOF) wamepelekwa Kyiv
Your browser is not able to display this video.
 
Yaani nimecheka Sana, Angalia drone ya Ukraine inavyo wahangaisha Hawa Wanajeshi wa Urusi.
Your browser is not able to display this video.
 
Ukraine kuna kikosi ambacho kinatumia Teknolojia sana, Hawatumii nguvu, wao ni akili nyingi. Kinaitwa Kikosi cha 30th Mechanized Brigade. Ndo wamiachilia hivi Video mbili za drone. hapa wameharibu vifaa vya jeshi la Urusi 9P140 (TELAR BM-27 Uragan) tatu, Magari ya Ugavi aina ya 9T452 matano, Malori mawili na risasi nyingi sana zimeteketezwa
Your browser is not able to display this video.
 
Mariupol nyumbani kwa Azov inavyoonekana. Warusi wanaogopa na wameshindwa kufika hapa.ndege, kifaru Missile haikatizi. Wameamua kuuzunguka mji mzima. Eti wakifa njaa watatoka. Wakitoka wanatoka na vifaru wanaenda kuleta vyakula na maji. Na Mrusi akisogea ni kwamba anaenda kujiua. Panaogopwa.
Your browser is not able to display this video.
 
Kikosi cha 54th Mechanized Brigade kilivyo shambulia base ya Urusi na kiharibu vifsru aina ya BTR-82 na Magari ya ugavi. Hapa ni Staromykhailivka mkoani Donetsk
Your browser is not able to display this video.
 
Jana alitumwa Azov mmoja ajisalimishe. Leo kakutwa kauawa. So Azov wamesema bora wafe na mtu kuliko kujipeleka kufa.

Hapa alijisalimisha pamoja na watu wengi.
Hapa akiwa ameuawa. Nani ajipeleke kufa?

Tutapambana. Afe azov Mmoja wafe Warusi 10.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…