Kuna madogo wanafundishwa Matumizi ya Silaha mpya na Teknolojia mpya. Wanahitumu Alhamisi na wanapelekwa Donbas. Mrusi hashindi. Silaha zipi za kutoshaHata huko Donbas inavoonekana mrusi atafurushwa tu ni suala la muda.
Naona mpk sasa resistance imekuwa kubwa sana sikutegemea.
Hivi muundo wa haya mabomu ya kisasa yana GPS? Au linalrushwa tu kwa kubahatisha? Nimeona mengi wanayapiga juu?Tatehe 09 May 2022 ilikuwa ni Paredi ya siku ya Uhuru wa Urusi. Basi wakaandaa Paredi ya Meli na boat kwenye Black Sea. Ukraine ikateketeza vyote na paredi ikaishia hapo🤣🤣
View attachment 2219204
Aisee nilichokuwa nawaza kuhusu hii kitu nimeona kuwa ni sawa, Huu mtambo unatumia Satelite Signals ukisaidiwa na GPS, Kwahiyo ni msaada mkubwa sana kwa Ukraine.Askari wa Marekani wakiwafundisha Ukraine jinsi ya kutumia Silaha aina ya M777 howitzer. Tangu Wiki iloisha wanafundishwa kutumia baadhi ya Silaha zilizotoka Marrkani
View attachment 2219033
Get well soon soldiersWote bado wapo Mariupol na Wanatibiwa. Ila Azov wanataka waendee kutibiwa Uraiani sio huku MariupolUwanj wa Vita. Tuwaombee wapone haraka
View attachment 2219492View attachment 2219493View attachment 2219494View attachment 2219496View attachment 2219497View attachment 2219498View attachment 2219499
View attachment 2219500
View attachment 2219501
View attachment 2219502
sorry hii ni ya UkrainDrone aina ya TB2 ya Urusi imeangushwa mkoani Kherson
View attachment 2204226View attachment 2204227
Sorry Mkuu, ilikuwa ni wrong pick. Pichs ni nyingi. Ngoja nitaifanyia kazi kijua ni picha ipi ya content then nitaedit. Asantesorry hii ni ya Ukrain