The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Mkuu simple tu em na wewe tufungulie hapa uzi tuyaone matango pori ya upande wa pili.Msiojua propaganda mtakula saana matango pori
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu simple tu em na wewe tufungulie hapa uzi tuyaone matango pori ya upande wa pili.Msiojua propaganda mtakula saana matango pori
Mkuu, sio utukane kwa kila kitu isichopenda. Jifunze kukubali kutokubaliana. Usiwe kama mtu hajaenda shule. Mfano hapa hukuwa na sababu ya kutukana, watu wanakuona mjinga.. Usirudieuzi wa kise.. nge tu
Nani kasema nimeenda shule, sijaenda shule ndio maana. Sizungumzii upenzi.. acha ushabiki kwenye vita unaonekana hayawani plus.. Vita ni mbya sio kwa Ukraine wala Russia.. vita ni mbaya haina uzuri.. unaweka ushabiki kwenye vita.. ndio maana nimeona uzi wa kisee. nge tu.. Si shabii upande wowote zaidi ya kuumia katika watu kupoteza maisha n. kMkuu, sio utukane kwa kila kitu isichopenda. Jifunze kukubali kutokubaliana. Usiwe kama mtu hajaenda shule. Mfano hapa hukuwa na sababu ya kutukana, watu wanakuona mjinga.. Usirudie
Hili ndo tatizo kubwa. Nani alikuambia mimi Mwafrika? Je, ni wa Nchi gani? Au kisa nipo JF napiga lugha?Aisee we jamaa kweli ni hayawani.
Siwezi kuwa na mahaba kiasi hiki kwa kweli kwa hao watu weupe be it US au Russia na their allies. Hii vita ukweli usemwe chokochoko zote zimeletwa na wamarekani. Hayo ya kuchakazana wacha wauwane. Huwa tunasema waafrika ni wanafiki blah blah kibao...lakini ukweli wazungu ni wanafiki wa kipekee na washenzi. Nashangaa kwanini hoja za Urusi kwenye hili sakata zinafungiwa macho.
Inawezekana Urusi alii underestimate Ukraine, lakini vita lazima iwe ngumu kwa Urusi, hao si waarabu ni wazungu kwa wazungu na zaidi anasaidiwa na NATO kwa mgongo wa nyuma. Si sawa na vita ya Marekani dhidi ya Iraq/Afghanistan. Na civilian wakishakua upande wa serikali vita lazima iwe ngumu.
Utajijua. Sibishani nawe wala sitakuquote tena.Nani kasema nimeenda shule, sijaenda shule ndio maana. Sizungumzii upenzi.. acha ushabiki kwenye vita unaonekana hayawani plus.. Vita ni mbya sio kwa Ukraine wala Russia.. vita ni mbaya haina uzuri.. unaweka ushabiki kwenye vita.. ndio maana nimeona uzi wa kisee. nge tu.. Si shabii upande wowote zaidi ya kuumia katika watu kupoteza maisha n. k
JF Privacy terms zinakataza. Ningeongea mengine.Hili ndo tatizo kubwa. Nani alikuambia mimi Mwafrika? Je, ni wa Nchi gani? Au kisa nipo JF napiga lugha?
Utajua mwenyewe. Mi natoa update za Frontline Ukraine. Sijui why unaniattackJF Privacy terms zinakataza. Ningeongea mengine.
Ukikua utaacha utoto.Utajua mwenyewe. Mi natoa update za Frontline Ukraine. Sijui why unaniattack
😂 sindano imemuingia imebidi apige tu ukunga 😂😂 ongeza dozi mkuuMkuu, sio utukane kwa kila kitu isichopenda. Jifunze kukubali kutokubaliana. Usiwe kama mtu hajaenda shule. Mfano hapa hukuwa na sababu ya kutukana, watu wanakuona mjinga.. Usirudie