OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Ulafi mtupu. Waliiba sana nafaka, vifaa vya nyumbani n.k. sasa Hata wanyama!!! Cjui kama watakuwa wamewaandalia hao wanyama mahali pa kuishi au ndo wanaenda kuchinjwa na kuliwa maskini.Warusi wakati wanaretreat Kherson, waliiba wanyama kwenye zoo na kuwapeleka Urusi
View attachment 2416046