Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Kifauru aina ya TOS-1A cha Urusi. Ndo vilipelekwa Vuhledar vikateketea na kuwaka moto Mkubwa
Army2016-487.jpg
Heavy_flamethrower_system__Solntsepyok__during_the__Armiya_2020__exhibition_(front_view).jpg
Tactical_exercises_of_Radiological,_Chemical_and_Biological_Protection_Troops_units_at_Shikhan...jpg
TOS-1A_before_firing.jpg
 
Ni kwani i wanajeshi wa urusi waonwanakuwaga na combat tofauti tofauti yaani siku zote warusi wakitekwa lazima uone uniform zoa ziko tofauti tofauti ndani ya kundinla watu 20 unaweza kuona wamevaa ata sare 6 tofauti tofauti
Kutokana na Mazingira ya baridi. Pia ni Vikosi tofauti. Wengine ndani unakuta kavaa nguo nyingi, ili akizidiwa anavua sare ya juu anajifanya raia wa Ukaine.
 
Kutokana na Mazingira ya baridi. Pia ni Vikosi tofauti. Wengine ndani unakuta kavaa nguo nyingi, ili akizidiwa anavua sare ya juu anajifanya raia wa Ukaine.
Nakumbuka vita ya kagera wanajeshi wa amini walikuwa na huo mtindo,japo walikuwa wanakuja kupeleleza,sasa raia tulifundishwa kila mtu kumjua jirani yake tulipoona sura tofauti tulitoa taarifa kwa mjumbe wa nyumba kumi kumi,walikamatwa kinoma.
 
Back
Top Bottom