figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #12,221
Kuna kikosi huwa hatupost mara kwa mara cha Frontline. Kinaitwa 21 anti-tank mines, hawa kazi yao ni kutegua mabomu kabla vifaru havijaanza kupita. Pia wanashauri njia bora ya kupita. Saa nyingine wanapasua pori kwa Pori