figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #12,301
Nimeshindwa kuhesabu mizoga ya Warusi kwenye hili handaki🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrusi, Mrusi, Kumbuka hizo Roho zilizoangamia kwa Uamuzi wako wa kibabe na kikatili zitakulilia. Hazitakuacha salama.Nimeshindwa kuhesabu mizoga ya Warusi kwenye hili handaki🤣🤣🤣
View attachment 2560850
Slava Ukraine.Baada ya Maandamano ya Ugumu wa Maisha, Rais wa Ukriane ameisaidia Knya tani 30,000 🇺🇦 za ngano ambazo zimeshushwa Bandari ya Mombasa.
Rais wa Ukraine amesema ataendelea kuisaidia Afrika bila kujali vitisho vya Urusi kwa Afrika
View attachment 2560912
Meli ya Ukraine ikiwa imetia nanga bandari ya Mombasa
Hiyo ni Ishara ya 'Tuko pamoja katika Janga hili"Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida katembelea Bucha na kuweka shada la Maua kwenye kanisa walipouawa halaiki ya Wananchi
View attachment 2560907
Matendo ya Huruma ni Akiba ni Hazina.Hawa wanajeshi wa Ukraine walimuona Mbwa wa Mtaani akiwa na njaa. Drone iliporudi ikabidi iwekewe soseji mbwa ale. Drone ikaenda na kidondosha Soseji
View attachment 2560866
Duh! Laiti wangelijua. Wameteuliwa kuwa na cheo cha Marehemu mbolea ya Ukraine. Hawajui kwamba Ukraine sio Congo DRC na wala haifanani na Rwanda.Wale Waafrika waliojipeleka Urusi kupigana vita ya Ukriane naona wameanza kuimba Kirusi. Itakuwa wanakaribia kuhitimu. Nawashauri wasiende Ukraine.. Pole kwao. Eti ni Afrika Region ngoja wakakutane na AZOV
View attachment 2561002
😂😂😂😂 Siyo mizoga jamaa wako hai wamejifanya wamekufa. Ukiangalia vizuri wanatikisika. Ila macho yanaangalia juu, ukiwashushia bomu hapo ghafla wanafufuka 😂😂.Nimeshindwa kuhesabu mizoga ya Warusi kwenye hili handaki🤣🤣🤣
View attachment 2560850
Meat Grinder inawasubiria kwa hamu. Ukiangalia vizuri wengi ni nanga. Nadhani bado hawajahitimu mafunzo.Wale Waafrika waliojipeleka Urusi kupigana vita ya Ukriane naona wameanza kuimba Kirusi. Itakuwa wanakaribia kuhitimu. Nawashauri wasiende Ukraine.. Pole kwao. Eti ni Afrika Region ngoja wakakutane na AZOV
View attachment 2561002
Slava Ukraine [emoji1255]Nimeshindwa kuhesabu mizoga ya Warusi kwenye hili handaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2560850
Slava Ukraine [emoji1255]Hawa wanajeshi wa Ukraine walimuona Mbwa wa Mtaani akiwa na njaa. Drone iliporudi ikabidi iwekewe soseji mbwa ale. Drone ikaenda na kidondosha Soseji
View attachment 2560866
Slava Ukraine [emoji1255]Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida katembelea Bucha na kuweka shada la Maua kwenye kanisa walipouawa halaiki ya Wananchi
View attachment 2560907
Slava Ukraine [emoji1255]Baada ya Maandamano ya Ugumu wa Maisha, Rais wa Ukriane ameisaidia Kenya tani 30,000 [emoji1255] za ngano ambazo zimeshushwa Bandari ya Mombasa.
Rais wa Ukraine amesema ataendelea kuisaidia Afrika bila kujali vitisho vya Urusi kwa Afrika
View attachment 2560912
Meli ya Ukraine ikiwa imetia nanga bandari ya Mombasa
Aaah! Hivo-Hivo'Afandeee. Wataenda kuhitimu huko mbele ya wapambanaji wa Ukraine. Kama Mrusi amethubutu kuwapeleka mobilised warusi ndg. zake frontline; atashindwaje kwa mfano kuwapeleka hao majuha Waafrika? Ngoja wakajifunze huko. Tunamwomba Figa na wenzake wasisite na wasichelewe kutupostia mizoga yao mapema iwezekananavyo.😀😀Meat Grinder inawasubiria kwa hamu. Ukiangalia vizuri wengi ni nanga. Nadhani bado hawajahitimu mafunzo.