Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Maskini wakina Mdee na Esta Bulaya na covid wao😁😁😁
 
Mbunge wa Kongwa Ndugu Job ndugai amejiuzulu wadhifa wa uspika kwa barua aliyomwandikia Katibu wa bunge na kuomba taratibu nyingine za kumpata Spika ziendelee
Asiwe na hofu kuhusu taratibu tunaye 2lia
 
Kibajaji, zungu, gwajima, viongozi wa uvccm wa moshi, mpwapwa, dodoma, singida ni wafuasi wa mbowe/chadema?
 
Hili haliachi alama nzuri kwa Taifa letu! Hata Ndugai awe amekosea kiasi gani lakini ipo mbegu mbaya sana imepandwa ambayo toka uhuru haijawahi kutokea!

Tuna safari ndefu sana na kutokubaliana na Ndugai kwenye mengi hakufanyi nipuuze namna alivyoshughulikiwa pamoja na nafasi yake.
 
Sheria inasema spika anapaswa kujiuzulu mbele ya bunge sasa imekuaje hapa? Afu mbona barua ni kavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…