Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo leo Januari 06, 2022 ikiwa ni siku chache tangu kusambaa kwa video ambayo alinukuliwa akisema ipo siku Nchi itauzwa kutokana na madeni

Amesema ameandika Barua ya kujizulu kwa Katibu Mkuu wa CCM na uamuzi huo ni binafsi na hiari, na ameuchukua kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi, Serikali na Chama

#JamiiForums
View attachment 2070821
Mode, mimi ni Tomaso, this letter doesn't look real! is this bonafide genuine?. Headed paper gani hii haina address?.
Hiyo barua ya kujiuzulu ikowapi?.
please do the needful.
Update.
Nimethibitisha hii ni kweli, bonafide genuine

Samahani Mkuu Roving Journalist kwa kukudoubt,
Tomaso ndivyo alivyo.
P
 
Bora kaondoka alikuwa anazuia wenzake kusema asiyo yapenda yeye ZUZU OUT[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Spika wa hovyo kuwahi kutokea katika hii nchi toka tupate Uhuru. Ndiyo alikuwa mbeba agenda kuu ya Rais wa Maisha. Rest in Hell Job Ndugai. Ulifanya Bunge kama gulio la Uswazi bila heshima kabisa.
 
Jema si jema lisipo pema!
Ni vyema tukajifunza na kuzingatia maadili ya uongozi tunapo pata fursa ya kuwa viongozi,
Yawezekana Mwamba alikuwa sahii katika hoja yake ya msingi, ila je aliiwakilisha kwa usahii na wakati sahii?
Uhu mtindo wa kukurupuka kwenye vyombo vya habari wakati zipo njia sahii za kikanuni za kufuata na kuwkilisha hoja kabla ya kuzitawanya, hazimpendezi KIONGOZI bora anaye wakilisha mhimili mmoja wapo wa nchi,
Ni vyema angepata ridhaa ya wanataasisi kwa ujumla kuliko kukurupuka kiasi kile, nadhani ilikuwa ni ulevi wa madaraka
IMG-20220106-WA0057.jpg
 
Shinikizo la kutaka Spika ajiuzulu ktk nafasi yake limeshikiwa bango zaidi na wafuasi wa Mbowe/Chadema.

Niwazi kabisa Spika alikuwa mwiba mkali sana kwa ktk kusimamia sheria na kanuni za mbunge na haswa kwa wapinzani ambao walitaka kuleta mchezo.

Sasa leo hii hatuwezi kushangaa kuona genge la Mbowe likishangilia na kupiga mayowe eti Spika ajiuzulu.

Kamwe wana CCM Makini wasikubali kuingia ktk mtego huuu.

Inatosha na Inatosha sana kwa kitendo cha kiungwana alicho kifanya Spika cha kuomba radhi.

Kamwe tusikubali kuendelea kumdhalalisha Spika wetu aliye fanya kazi kwa umahiri mkubwa na kuisaidia nchi yetu.

Ni vyema wana CCM wakawa makini ktk kipindi hiki cha upepo mbaya, wapaswa kuwa watulivu na nidhamu ya hali ya juu.
Mungu Ibariki Tanzania.
Kazi iendeleee kama kawaida.
Karma haitakaa iwaache asilani, tendeeni wema kw misingi ya sheria na utu. Kipindi chote miaka 7.tumesikia na kuona mambo ya hovyo hovyo kwenye nchi hii. Ninyi hamjui kulopoka kule ni effect ya figisu zenu.
 
Ndugai mwisho wake umekua wa ghafla sana halaf hata mwenyew haamini😂😂 KARMA ni kitu nyingine kabisa daah,sa ndo ningekua mimi ndo Job ningekimbia nchi kama Lema au Lissu😀😀
Jamaa kama mjanja alitunza mabilion yakifasadi aliyoiba nyumbani ayakusanye na kwenda kuyachimbia huko ndani ndani porini Kongwa
 
Mode, mimi ni Tomaso, this letter doesn't look real! is this bonafide genuine?. Headed paper gani hii haina address?.
Hiyo barua ya kujiuzulu ikowapi?.
please do the needful.
P
Pasco habari imeandikwa mpaka TBC, inabidi leo uende kwenye bar yoyote ya karibu upate chupa ya mvinyo uwaambie Job atalipia. Alikusumbua sana huyu mgogo na kamati yake ya maadili😆
 
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo leo Januari 06, 2022 ikiwa ni siku chache tangu kusambaa kwa video ambayo alinukuliwa akisema ipo siku Nchi itauzwa kutokana na madeni

Amesema ameandika Barua ya kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa CCM na uamuzi huo ni binafsi na hiari, na ameuchukua kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi, Serikali na Chama

#JamiiForums

Mbunge wa Kongwa (CCM), Job Ndugai tarehe 10 Novemba 2020, alichaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 12 baada ya kupata kura 344 kati ya kura 345 zilizopigwa sawa na asilimia 99.7. Kura moja ilimkataa. Ndugai alikuwa spika katika Bunge la 11 la 2015 - 2020.
View attachment 2070821
Asante sana Mungu wa Mbinguni, Tenda Baba, Endelea kuwaonesha ukuu wako🙏
 
Back
Top Bottom