Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Hoja ni kuwa wale wahuni na Chawa kamwe wasipewe nafasi.
Tuliza mshono vevee sasa hivi ni zamu yetu Wazanzibari
1326.gif
 
Mke anausikaje apa baba azingue alfu mama ahusishwe hpn rais akimfuta Kaz mke wake sas itatokea vurugu
 
Kwa namna nyingine ktk ulimwengu wa ujasusi, viongozi wakubwa wa nchi kutoka chama kimoja wakionesha malumbano hadharani kwa kiwango kikubwa, kiasi kwamba mpasuko wa wazi unaonekana baina yao, maajenti wa ujasusi kutoka nchi rafiki na hasimu wanaweza kumfuata aliyezidiwa nguvu, wakamfariji, wakamrubuni na kumtumia kwa maslahi yao ikiwa ni pamoja na kupata siri za nchi kutoka kwake.

Hata kwenye biashara kubwa za kifamilia mfano wa biashara za kimafia - ni marafuku kuonesha hadharani mpasuko uliopo miongoni mwa familia au washirika wa kibiashara.

Good night!
 
Kwa namna nyingine ktk ulimwengu wa ujasusi, viongozi wakubwa wa nchi kutoka chama kimoja wakionesha malumbano hadharani kwa kiwango kikubwa, kiasi kwamba mpasuko wa wazi unaonekana baina yao, maajenti wa ujasusi kutoka nchi rafiki na hasimu wanaweza kumfuata aliyezidiwa nguvu, wakamfariji, wakamrubuni na kumtumia kwa maslahi yao ikiwa ni pamoja na kupata siri za nchi kutoka kwake.

Hata kwenye biashara kubwa za kifamilia mfano wa biashara za kimafia - ni marafuku kuonesha hadharani mpasuko uliopo miongoni mwa familia au washirika wa kibiashara.

Good night!
 
Lakini sisi Watanzania Ni Watu wagumu sana na Tusio Eleweka Nini Tunataka.

Tanzania Kuna Mihimili 3 na Hii Mihimili haingiliani Kwa Mujibu wa Katiba, NDUGAI alikuwa kiongozi wa Muhimili wenye haki kikatiba ya Kumkosoa Rais Popote Pale kama wataona Mambo Hayaendi sawa. Ndugai Alimkosoa Rais Kwenye Tozo ambazo Tumekuwa Tukilia lia Kila Siku, Na Kwenye Mikopo Ambayo Kiuhalisia Haikuwa sawa Ndani Ya Miezi 6 kutoka T 56 hadi T 70 kitu ambacho Sio Sawa Kabisa.

Kwa hiyo Tumefurahi Muhimili 1 kutikiswa na Muhimili Mwingine? Basi Hakuna Siku Bunge litakuwa na Uwezo wa Kumchallange Rais Popote pale kwa hiki kilichotokea, Tanzania Tuna Mihimili 2 Mahakama na Rais [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mahakama ipi hii iliyopewa maelekezo mbowe afie jela

Hii nchi hakuna separation of power wala accountability.

Rais ndio spika ,supreme justice
 
Hatua ya Job Ndugai kujizulu imevutia msto wa maoni kutoka kwa viongozi na Watanzania kupitia mitandao ya kijamii

Huku wengine wakimsifu kwa uamuzi huo ikizingatiwa kwamba tayari alikuwa chini ya shinikizo ,kunao waliokaribisha uamuzi wake wakionekana kufurahia alichokifanya Ndugai.

Sauti zilizosikika sana ni kutoka kwa viongozi wa vyama vya upinzani ambao walitoa maoni yao katika mitandao ya kijamii . Tundu Lissu wa Chadema amesema kwamba kujiuzulu kwa Ndugai kunaonyesha kwamba kuna mhimili mmoja tu wenye wa dola’usihojiwa wala kudhibitiwa’.

Hata hivyo mbunge John Heche wa Chadema alisema haikufaa kufurahiwa kwamba Ndugai amejiuzulu kwa sababu ni hatua iliyosababishwa na mhimili mwingine kwa kiongozi wa bunge

Screenshot_20220107-041412_Firefox.jpg

Screenshot_20220107-041605_Firefox.jpg

Screenshot_20220107-041939_Firefox.jpg

Screenshot_20220107-042522_Firefox.jpg

Screenshot_20220107-043342_Firefox.jpg

Screenshot_20220107-044502_Firefox.jpg

Screenshot_20220107-044650_Firefox.jpg
 
Back
Top Bottom