Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Leo bungeniMkuu hiyo taarifa imezungumzwa lini? Akiwa wapi?
Ipo nusu taarifa yako mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo bungeniMkuu hiyo taarifa imezungumzwa lini? Akiwa wapi?
Ipo nusu taarifa yako mkuu.
hii kambale imepanic"Na hata huyo mtu wao alilipwa
kila kitu, ila zilipoingia benki
walizichukua zote, na kama mtu
kaishiwa huko ulaya alipo si
aseme tu, bunge ni taasisi
iliyopo makini na haimuonei mtu, hakuna hata mmoja anayeidai"
amesema Spika Ndugai
Dah..!!!! Yani si mchezo.. Jamaa si hajui aliko Lisu..!!??"Na hata huyo mtu wao alilipwa
kila kitu, ila zilipoingia benki
walizichukua zote, na kama mtu
kaishiwa huko ulaya alipo si
aseme tu, bunge ni taasisi
iliyopo makini na haimuonei mtu, hakuna hata mmoja anayeidai"
amesema Spika Ndugai
Kama babu zako bado wako hai endelea kuombea wengine kufa.Huyu shetani kachelewa sn kumfuata dikteta sijui anasubiri nini?
Wakifa wewe unapata hasara gani? huyu anahujumu taifa hana maana yoyoteKama babu zako bado wako hai endelea kuombea wengine kufa.
Ndugai anatakiwa anyongwe kabisaSasa kama waliweka kwenye akaunti ya Lisu waliozichukua huko ni nani?!
Au anataka kusema waliweka kwenye akaunti ya Chadema?!
Ukweli utakuja julikana tu.