Atoe maelezo hela zililipwa lini bank gani account na ngapi na Jin la account. Aliezichukua ni nani ikiwa ziliingizwa kwenye a/c ya Tundu. Akitoa maelezo hayo tutaelewa ukweli vinginevyo ni yaleyale ya chuki binafsi zisizokuwa na maelezo."Na hata huyo mtu wao alilipwa
kila kitu, ila zilipoingia benki...